Hatimaye Diamond amtakia ndoa njema Ali Kiba

Hatimaye Diamond amtakia ndoa njema Ali Kiba

Diamond ni msanii mwenye roho nzuri sana huwa hana shida na mtu yeye hujali yanayo muhusu tuu na hupambana na hali yake....
Diamond ana msaidia sana Alikiba kuwaka....
[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]
 
Hamna jipya hapo. Ni kama kwenye soka kuna mashbiki maandazi wanaoamini Messi na Ronaldo haziivi.
 
Kupitia ukurasa wake wa instagram diamond platnumz amemtakia Ali kiba Ndoa njema yenye baraka na furaha Tele!

Kitu ambacho watu wengi hawakutegemea lakini diamond kakifanya hakika kweli Sanaa Imezaliwa Upya!

Nini mtazamo wako

View attachment 750260
Hii post imeandikwa kimajungumajungu eti nimeambiwa kiba kaoa leo!!!!!!! Kwa wazee wa kiswahil wanaelewa hapo
 
Huyo mwenye nywele kama kamba ya katani anaonekana mikono yake imekomaa
Akipima oil kwa mzungu wake sijui hua inakuaje
 
Back
Top Bottom