Hatimaye Diamond amtakia ndoa njema Ali Kiba

Hao hata hawanaga mabifu,media+mashabiki ndo wanaotengeneza bifu
 
Diamond hana shida kabisa,shida ipo kwa yule bamia la kariakoo ana roho mbaya sana
 
Kwahyo bongo hakuna mademu wazuri? ?mbona wanaenda kuoa huko ng'ambo jamani, ufafanuzi plz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…