Hatimaye Diamond amtakia ndoa njema Ali Kiba

Mkuu ikiwa hakupewa mualiko na jambo limefanyika kuna ubaya kusema Nimesikia....Mfikishieni..??

Kwanini isitafsirike Diamond amsikitika Kiba kutompa mualiko??

Anyway inaonesha sasa hawa vijana wameanza kuwa na busara!!
 
Mkuu ikiwa hakupewa mualiko na jambo limefanyika kuna ubaya kusema Nimesikia....Mfikishieni..??

Kwanini isitafsirike Diamond amsikitika Kiba kutompa mualiko??

Anyway inaonesha sasa hawa vijana wameanza kuwa na busara!!
Yeah... sahihi kabisa. Yawezekana kweli hakupata mwaliko na labda angepewa angeenda. All in all Platnumz kafungua njia ya busara baina ya hawa nguli wawili...
 

Ivi Kiba amekua maarufu sababu ya Diamond??alipataje ugali wake na familia yake kabla ya Diamond?inawezekana nikawa nimesahau ila naamini Kiba amekua maarufu kabla ya Diamond kuna gap kubwa toka Kiba aanze kutafuta riziki kupitia muziki mpaka Diamond nae alipoingia kwenye muziki.
Siku za usoni haya mambo ya timu yameonyesha jinsi gani watoto wengi wa kiume wamewanyang'anya dada zao tabia ya wivu wa kike naona hata umu JF wapo hawa Diamond na Kiba ni wanaume wanaosaka mafanikio kwa njia zao ni heri na sisi wanaume wengine tuvuje jasho kwa njia zetu tuache majungu kwa ulofa huu wa ipo siku hawa watoto watawakazia mademu na dada zenu bila kujali uko timu yake au ya mwenzake.
No hard feeling tho'
 
Kumbuka kiba yupo kwenye game toka mondi yuko forme one D
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…