Hatimaye Diamond anunua Private Jet

Toa takataka hizi kenge wewe
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] usisahau kawavimbia had Forbes tak.o yule
 
Naweza kukubaliana nawe
Huyu ni tapeli tu anapenda kwenda na akili za watanzania wengi kila akisema kitu watu wanashabikia lakini hakuna ukweli wowote. Hana utajiri wowote yote ni madrama tu anapenda kuendesha maisha kwa kiki tu sio maisha halisi. Watanzania lazima tuelewe kuna maisha halisi na maisha ya mtandaoni na nawakikishia kuwa ukijua maisha halisi ya wasanii wengi utatamani kuwachapa bakola pumbavuuuuuuuuuu zao.
 
Nyumba moja hapo Bei gani mkuu?
#Singapore[emoji630]
 
Naomba registration number ya hiyo ndege
 

Ndio msanii wa kwanza bilionea wa forbes kumiliki nyumba yenye kiwanja kama kiganja cha mkono na anaishi kwenye nyumba ya kupanga huku akimiliki houses kwenye slum areas.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…