Mtoto wa tandale anazingua sana, anajua kuwavimbia mafala
V8 ya zawadi na menejimenti nkajua tu tayari mzigo umepigwa sopsop gereji, ile beamer nayo mkweche kauziwa na mbongo mmoja, prado nayo daa! Mchizi hajawahi agiza kitu kutoka Japs ata, anakamatishwa na wahuni wa hapahapa twn. Ofisi ya WCB mbezi ni mjengo wa kusaga if I'm not mistaken, hiyo anayoishi amepanga. Wanampelekapeleka Kama kitenesi,mapafyum ya kusaga, makaranga ya wahindi ila Vichwa maji wanajua staa wao bilionea [emoji23][emoji23][emoji23] m*f*