Hatimaye Ditram nchimbi afunga goli

Pamoja na kuwa mpenzi was Simba Ila ila nampogeza kwa hatua hii...alikuwa anapitia magumu!
Huyu ni Mtanzania ,na tuna bahati mbaya ukiondoa Boko hatuna forward mwingine!
 
Namshangaa sana Mwanadamu mwenye AKILI timamu alaf anashabikia YANGA.. ni litimu lakipuuzi kipumbavu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…