Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Sijui ila aliadimikaKwani alitenguliwa?
it is what it isSo what?
What is it?it is what it is
Alikuwa kajichimbia wapi?Hatimaye Katibu Mkuu wa zamani wa Wizara ya fedha , Bwana Dotto James ameonekana hadharani baada ya kupotea kwa kipindi kirefu .
Ameonekana huko Chato kwenye maadhimisho ya miaka 3 tangu kufariki kwa Mjomba wake John Magufuli aliyekuwa Rais wa Tanzania .
Huyu hapa
View attachment 2937681View attachment 2937682
"........tangu kufariki kwa mjomba wake........." duhHatimaye Katibu Mkuu wa zamani wa Wizara ya fedha , Bwana Dotto James ameonekana hadharani baada ya kupotea kwa kipindi kirefu .
Ameonekana huko Chato kwenye maadhimisho ya miaka 3 tangu kufariki kwa Mjomba wake John Magufuli aliyekuwa Rais wa Tanzania .
Huyu hapa
View attachment 2937681View attachment 2937682
Chadema ya visasi na upumbavu kama kawaida yake na majuha wake kina Erythrocyte!
Mtakufa na misongo mpaka kesho kutwa!
Damu yake inalia mavumbini.Leopold lwajabe
Italipwa hata kama sio leo au keshoDamu yake inalia mavumbini.