Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
si ulisema aliuawawa šHatimaye Katibu Mkuu wa zamani wa Wizara ya fedha , Bwana Dotto James ameonekana hadharani baada ya kupotea kwa kipindi kirefu .
Ameonekana huko Chato kwenye maadhimisho ya miaka 3 tangu kufariki kwa Mjomba wake John Magufuli aliyekuwa Rais wa Tanzania .
Huyu hapa
View attachment 2937681View attachment 2937682