si ulisema aliuawawa 🐒Hatimaye Katibu Mkuu wa zamani wa Wizara ya fedha , Bwana Dotto James ameonekana hadharani baada ya kupotea kwa kipindi kirefu .
Ameonekana huko Chato kwenye maadhimisho ya miaka 3 tangu kufariki kwa Mjomba wake John Magufuli aliyekuwa Rais wa Tanzania .
Huyu hapa
View attachment 2937681View attachment 2937682
Hata kufungwa kwa yanga wanaitaja CHADEMA.Umeandika ujinga gani huu? Ulitakiwa uandike hao CHADEMA wamefanya kisasi gani ili watu wajue. Lakini kwa namna hii uliyoandika, unaonesha uwezo mdogo wa akili katika kujenga hoja.
Huyo ndio kamlipia Mwenyekiti deni la Tanzania Daima 😂😂🔥Hatimaye Katibu Mkuu wa zamani wa Wizara ya fedha , Bwana Dotto James ameonekana hadharani baada ya kupotea kwa kipindi kirefu .
Ameonekana huko Chato kwenye maadhimisho ya miaka 3 tangu kufariki kwa Mjomba wake John Magufuli aliyekuwa Rais wa Tanzania .
Huyu hapa
View attachment 2937681View attachment 2937682
Mbona yupo na tunaonana naye ungeuliza!Hatimaye Katibu Mkuu wa zamani wa Wizara ya fedha , Bwana Dotto James ameonekana hadharani baada ya kupotea kwa kipindi kirefu .
Ameonekana huko Chato kwenye maadhimisho ya miaka 3 tangu kufariki kwa Mjomba wake John Magufuli aliyekuwa Rais wa Tanzania .
Huyu hapa
View attachment 2937681View attachment 2937682
🤣 🤣 🤣Hata kufungwa kwa yanga wanaitaja CHADEMA.
Achana nao kaka mioyo ilishapanuka kitambo haoChadema ya visasi na upumbavu kama kawaida yake na majuha wake kina Erythrocyte!
Mtakufa na misongo mpaka kesho kutwa!
Ulikuwa unamtafuta akuoe?Hatimaye Katibu Mkuu wa zamani wa Wizara ya fedha , Bwana Dotto James ameonekana hadharani baada ya kupotea kwa kipindi kirefu .
Ameonekana huko Chato kwenye maadhimisho ya miaka 3 tangu kufariki kwa Mjomba wake John Magufuli aliyekuwa Rais wa Tanzania .
Huyu hapa
View attachment 2937681View attachment 2937682
Dotto James ni mpwa wa marehemu Magufuli. Magufuli alimtoa TANROADS kama ofisa wa kwaida kwenye uhasibu. Akamsogeza Wizara ya fedha kuwa Naibu KM wakati wa Likwelile. Kisha akamtoa Likwelile na kumpa Dotto James u-Katibu Mkuu hazina. Katibu Mkuu Hazina ndiye Mlipaji Mkuu wa Serikali.Hatimaye Katibu Mkuu wa zamani wa Wizara ya fedha , Bwana Dotto James ameonekana hadharani baada ya kupotea kwa kipindi kirefu .
Ameonekana huko Chato kwenye maadhimisho ya miaka 3 tangu kufariki kwa Mjomba wake John Magufuli aliyekuwa Rais wa Tanzania .
Huyu hapa
View attachment 2937681View attachment 2937682
kwamba sasa hivi hawezi kumjibu mtu atakavyo
Walikuwa miungu watu hao, wangeweza kumjibu mtu yeyote vyovyote watakavyo.
Mbona maza kaweka mkwe wake TAMISEMI?Dotto James ni mpwa wa marehemu Magufuli. Magufuli alimtoa TANROADS kama ofisa wa kwaida kwenye uhasibu. Akamsogeza Wizara ya fedha kuwa Naibu KM wakati wa Likwelile. Kisha akamtoa Likwelile na kumpa Dotto James u-Katibu Mkuu hazina. Katibu Mkuu Hazina ndiye Mlipaji Mkuu wa Serikali.
Bado wajinga wanafai Magufuli aliuwa mzalendo. Mzalendo gani umaeeka mtoto wa.dada yako kwenye kazi nyeti kama hiyo?? Wizi mtupu
We umeongea kweli tupuAlishajikusanyia ukwasi wakutisha njaa kwake ni history atakula mpaka aziache tu Hela za wadanganyika
Visasi vipo ccm na serikali yake,wapi Mr.Saanane?,familia yake itapata closure lini?,@wanaonekana kwenye picha hiyo kama very innocent gentlemen kumbe wauaji wakubwa na mafisadi,wapi fedha zanguChadema ya visasi na upumbavu kama kawaida yake na majuha wake kina Erythrocyte!
Mtakufa na misongo mpaka kesho kutwa!
Au ndio Maghayo mwenyewe!Labda alikuwa Copenhagen huko akicheza mbina! Maana Copenhagen ina mahusiano ya kibalozi na gwambina wa kisukuma! Hapa Copenhagen wasukuma wapo wengi sana ni wacheza ngoma za kisukuma(mbina)