Hatimaye Dotto James aonekana hadharani

Dah,

Umenikumbusha miaka ya 1980s kuna Msukuma alitoka Mwanza huko hata Dar hajawahi kufika alikuwa anachujua ndege kwenda Copenhagen kucheza ngoma, alikuwa hana sehemu ya kufikia Dar akafikia kwetu.

Kwa hivyo naweza kujubali maneno yako.
Alikuwa anajua kiswahili kweli? Hawa ndugu wana dunia yao very amazing 😂 😂 😂 😂
 
Lizee la kupenda [emoji872][emoji872][emoji872][emoji872]
Huyu jamaa alikua anapenda nnya sio poa watu wa upinde kawala sana huyu
 
Ulitaka amweke mama yako au?

Nyie wapuuzi ndio mkifanikiwa mnawasahau ndg zenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…