Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
Da Mange aliwambia πππππWatu bana? eti aliondoka na fuko la era.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Da Mange aliwambia πππππWatu bana? eti aliondoka na fuko la era.
Sasa mmewafanya nini? Mbona wapo wanadunda? Wachimba chumvi mna hangaika tuuUtawala wa magufuli sijui walijua wataishi milele.
Sasa umejibu nini?ππππHuwezi linganisha tamisemi na KM fedha mkuu.
Pili mkwe hajabebwa anajiweza sana
Aliwachongea vipi acha uongo bhana!Redio mbao aliwachongea kina lwajaba,elisha eliya na yule mtangazaji wa DW wakaripu
Naunga mkono hoja yakoUlitaka amweke mama yako au?
Nyie wapuuzi ndio mkifanikiwa mnawasahau ndg zenu
Happines sio mtoto wake wa kumzaa, ni Ras alikuwa Iringa now nafikiri yupo Singer or MbeyaDotto James
Na yule mdogo wake mkuu wa wilaya, Kuna mtoto wa Magu mkurugenzi wa hakmashauri.
Sisi tunamuona sio rahisi kumuona kila mtu Tanzania hiiWameuliza mbona haonekani?
Nilihamia Ukerewe baada ya kumtemea nyongo yule mjinga wenu wa ChatoAya tulia hapo butimba ndg
Mwizi mkubwa huyuHatimaye Katibu Mkuu wa zamani wa Wizara ya fedha, Bwana Dotto James ameonekana hadharani baada ya kupotea kwa kipindi kirefu.
Ameonekana huko Chato kwenye maadhimisho ya miaka 3 tangu kufariki kwa John Magufuli aliyekuwa Rais wa Tanzania.
Huyu hapa
View attachment 2937681View attachment 2937682
Kwani Dotto James ulikuwa umejificha wapi? Poleni sana aisee! Ila Dotto ulichomfanyia Kweyamba Mungu anakuona, kisa tu mlitaka kufisadi pesa ya misaada kutoka Ulaya!Chadema ya visasi na upumbavu kama kawaida yake na majuha wake kina Erythrocyte!
Mtakufa na misongo mpaka kesho kutwa!
Mshika walletHatimaye Katibu Mkuu wa zamani wa Wizara ya fedha, Bwana Dotto James ameonekana hadharani baada ya kupotea kwa kipindi kirefu.
Ameonekana huko Chato kwenye maadhimisho ya miaka 3 tangu kufariki kwa John Magufuli aliyekuwa Rais wa Tanzania.
Huyu hapa
View attachment 2937681View attachment 2937682
Lakini mshahara si anakula wa ukatibu mkuu?Yupo wizara viwanda kama senior officer.....amefichwa
Elisha eliya aligombea ubunge ilikuwaje?Redio mbao aliwachongea kina lwajaba,elisha eliya na yule mtangazaji wa DW wakaripu
We waumia nn!Chadema ya visasi na upumbavu kama kawaida yake na majuha wake kina Erythrocyte!
Mtakufa na misongo mpaka kesho kutwa!
Haswaa pia ana cash sanaa yule walipiga sanaaaaLakini mshahara si anakula wa ukatibu mkuu?
Doto kama DittoHatimaye Katibu Mkuu wa zamani wa Wizara ya fedha, Bwana Dotto James ameonekana hadharani baada ya kupotea kwa kipindi kirefu.
Ameonekana huko Chato kwenye maadhimisho ya miaka 3 tangu kufariki kwa John Magufuli aliyekuwa Rais wa Tanzania.
Huyu hapa
View attachment 2937681View attachment 2937682
Hawa ndio wafiwa halisiDoto kama Ditto