Ufipa-Kinondoni
JF-Expert Member
- Jan 3, 2012
- 4,582
- 2,783
Wanajukwaa,
Katika mambo yaliyoteka jamii ya wasomi wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia katika siku za karibuni ni ubadhirifu mkubwa na uongozi mbaya. Malalamiko ya wafanyakazi na wanafunzi yalikuwa yanaelekezwa kwa DVC-Academic na DVC- Finance, Prof. Shemweta na A. Dubi kwa pamoja.
Habari za uhakika kutoka ndini ya chuo hiki zinasema, HATIMAYE HAWA JAMAA WAMENG'OLEWA RASMI. Pia taarifa zinaonyesha kuteuliwa kwa Maprof. wawili kutoka SUA na kuchukuwa nafasi zao na wataanza kazi hapo jumatatu ijayo.
Taarifa hizi zilianza kuzagaa baada ya wanafunzi kugoma kwa sababu ya viongozi hawa kufisidi hela zao za tafiti. Mgomo huu ulisababisha ziara ya ghafla ya Waziri wa Sayansi na Teknolojia, Prof. Mbalawa na ambayo ilileta sintojua nyingi. Inasemekana, aliita mkutano na wakuu wa Idara mbalimbali na kuzungukia chuo pamoja na hostel ambapo inasemekana alikuwa anaingia hata kwenye vumba vya wanafunzi.
Juzi na jana, imetaarifiwa kuwepo kwa kubadirisha mikataba mbalimbali ndani ya chuo hicho hasa ya Ulinzi na Usafi wa mazingira.
Nini cha kujiuliza:
kwanini kuwepo na mabadiliko katika mikataba hii wakati wahusika wa mikataba hii wanaondoka?
Katika mambo yaliyoteka jamii ya wasomi wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia katika siku za karibuni ni ubadhirifu mkubwa na uongozi mbaya. Malalamiko ya wafanyakazi na wanafunzi yalikuwa yanaelekezwa kwa DVC-Academic na DVC- Finance, Prof. Shemweta na A. Dubi kwa pamoja.
Habari za uhakika kutoka ndini ya chuo hiki zinasema, HATIMAYE HAWA JAMAA WAMENG'OLEWA RASMI. Pia taarifa zinaonyesha kuteuliwa kwa Maprof. wawili kutoka SUA na kuchukuwa nafasi zao na wataanza kazi hapo jumatatu ijayo.
Taarifa hizi zilianza kuzagaa baada ya wanafunzi kugoma kwa sababu ya viongozi hawa kufisidi hela zao za tafiti. Mgomo huu ulisababisha ziara ya ghafla ya Waziri wa Sayansi na Teknolojia, Prof. Mbalawa na ambayo ilileta sintojua nyingi. Inasemekana, aliita mkutano na wakuu wa Idara mbalimbali na kuzungukia chuo pamoja na hostel ambapo inasemekana alikuwa anaingia hata kwenye vumba vya wanafunzi.
Juzi na jana, imetaarifiwa kuwepo kwa kubadirisha mikataba mbalimbali ndani ya chuo hicho hasa ya Ulinzi na Usafi wa mazingira.
Nini cha kujiuliza:
kwanini kuwepo na mabadiliko katika mikataba hii wakati wahusika wa mikataba hii wanaondoka?