Hatimaye Eng. Hersi ameamua kuivua Yanga ubingwa wa ligi kuu

Hatimaye Eng. Hersi ameamua kuivua Yanga ubingwa wa ligi kuu

Smt016

JF-Expert Member
Joined
Jan 11, 2016
Posts
3,012
Reaction score
4,300
Mpira una njia na taratibu zake, hakuna maajabu yanayoweza kutokea tena baada ya uongozi wa Yanga kurudia kosa kwa mara ya pili mfululizo. Timu ilifanyiwa mabadiliko ya benchi la ufundi kwa kuja Ramovic, timu ili struggle kwa mechi kadhaa ila ikaja kutulia baadae, bahati nzuri mechi za klabu bingwa ndizo zilizotangulia kuliko ligi kuu hivyo ligi kuu ilichezwa wakati Yanga ikiwa imeanza kurejea kwenye kiwango chake.

Timu ilishakaa sawa na tuliona Yanga ikiwa inapata ushindi mnono wa magoli 3+ mnakuja kuleta kocha mpya nae aanze na upya kabisa kuweka falsafa zake huku timu ikikabiliwa na mechi back to back za ligi kuu.

Kuna shida kubwa sana katika mambo ya kimkataba kwa huu uongozi wa Yanga, kocha anaondoka kirahisi tu kisa kapata timu nyingine yenye maslahi zaidi yaani ni ovyo sana katika mambo ya sheria za kimkataba na ndio maana kesi zote uongozi unashindwa hovyo hovyo.

Kwa hapa Simba apewe tu kombe la NBC Hersi hayuko serious kabisa na njia za mpira kwa msimu huu.
 
Mpira una njia na taratibu zake, hakuna maajabu yanayoweza kutokea tena baada ya uongozi wa Yanga kurudia kosa kwa mara ya pili mfululizo. Timu ilifanyiwa mabadiliko ya benchi la ufundi kwa kuja Ramovic, timu ili struggle kwa mechi kadhaa ila ikaja kutulia baadae, bahati nzuri mechi za klabu bingwa ndizo zilizotangulia kuliko ligi kuu hivyo ligi kuu ilichezwa wakati Yanga ikiwa imeanza kurejea kwenye kiwango chake.

Timu ilishakaa sawa na tuliona Yanga ikiwa inapata ushindi mnono wa magoli 3+ mnakuja kuleta kocha mpya nae aanze na upya kabisa kuweka falsafa zake huku timu ikikabiliwa na mechi back to back za ligi kuu.

Kuna shida kubwa la mambo ya kimkataba kwa huu uongozi wa Yanga, kocha anaondoka kirahisi tu kisa kapata timu nyingine yenye maslahi zaidi yaani ni ovyo sana katika mambo ya sheria za kimkataba na ndio maana kesi zote mnashindwa hovyo hovyo.

Kwa hapa Simba apewe tu kombe la NBC Hersi hayuko serious kabisa na njia za mpira kwa msimu huu.
Mtag eng aupate huu ujumbe 😂
 
Mpira una njia na taratibu zake, hakuna maajabu yanayoweza kutokea tena baada ya uongozi wa Yanga kurudia kosa kwa mara ya pili mfululizo. Timu ilifanyiwa mabadiliko ya benchi la ufundi kwa kuja Ramovic, timu ili struggle kwa mechi kadhaa ila ikaja kutulia baadae, bahati nzuri mechi za klabu bingwa ndizo zilizotangulia kuliko ligi kuu hivyo ligi kuu ilichezwa wakati Yanga ikiwa imeanza kurejea kwenye kiwango chake.

Timu ilishakaa sawa na tuliona Yanga ikiwa inapata ushindi mnono wa magoli 3+ mnakuja kuleta kocha mpya nae aanze na upya kabisa kuweka falsafa zake huku timu ikikabiliwa na mechi back to back za ligi kuu.

Kuna shida kubwa la mambo ya kimkataba kwa huu uongozi wa Yanga, kocha anaondoka kirahisi tu kisa kapata timu nyingine yenye maslahi zaidi yaani ni ovyo sana katika mambo ya sheria za kimkataba na ndio maana kesi zote mnashindwa hovyo hovyo.

Kwa hapa Simba apewe tu kombe la NBC Hersi hayuko serious kabisa na njia za mpira kwa msimu huu.
Changamoto husababishwa na binadamu kwa asilimia kubwa kwa kutokujua ama kwa makusudi
 
Mpira una njia na taratibu zake, hakuna maajabu yanayoweza kutokea tena baada ya uongozi wa Yanga kurudia kosa kwa mara ya pili mfululizo. Timu ilifanyiwa mabadiliko ya benchi la ufundi kwa kuja Ramovic, timu ili struggle kwa mechi kadhaa ila ikaja kutulia baadae, bahati nzuri mechi za klabu bingwa ndizo zilizotangulia kuliko ligi kuu hivyo ligi kuu ilichezwa wakati Yanga ikiwa imeanza kurejea kwenye kiwango chake.

Timu ilishakaa sawa na tuliona Yanga ikiwa inapata ushindi mnono wa magoli 3+ mnakuja kuleta kocha mpya nae aanze na upya kabisa kuweka falsafa zake huku timu ikikabiliwa na mechi back to back za ligi kuu.

Kuna shida kubwa la mambo ya kimkataba kwa huu uongozi wa Yanga, kocha anaondoka kirahisi tu kisa kapata timu nyingine yenye maslahi zaidi yaani ni ovyo sana katika mambo ya sheria za kimkataba na ndio maana kesi zote mnashindwa hovyo hovyo.

Kwa hapa Simba apewe tu kombe la NBC Hersi hayuko serious kabisa na njia za mpira kwa msimu huu.
Ramovic ilikuwa lazima aondoke, kipimo cha kocha Yanga ni CAF champions league
 
Mpira una njia na taratibu zake, hakuna maajabu yanayoweza kutokea tena baada ya uongozi wa Yanga kurudia kosa kwa mara ya pili mfululizo. Timu ilifanyiwa mabadiliko ya benchi la ufundi kwa kuja Ramovic, timu ili struggle kwa mechi kadhaa ila ikaja kutulia baadae, bahati nzuri mechi za klabu bingwa ndizo zilizotangulia kuliko ligi kuu hivyo ligi kuu ilichezwa wakati Yanga ikiwa imeanza kurejea kwenye kiwango chake.

Timu ilishakaa sawa na tuliona Yanga ikiwa inapata ushindi mnono wa magoli 3+ mnakuja kuleta kocha mpya nae aanze na upya kabisa kuweka falsafa zake huku timu ikikabiliwa na mechi back to back za ligi kuu.

Kuna shida kubwa la mambo ya kimkataba kwa huu uongozi wa Yanga, kocha anaondoka kirahisi tu kisa kapata timu nyingine yenye maslahi zaidi yaani ni ovyo sana katika mambo ya sheria za kimkataba na ndio maana kesi zote mnashindwa hovyo hovyo.

Kwa hapa Simba apewe tu kombe la NBC Hersi hayuko serious kabisa na njia za mpira kwa msimu huu.
Wenye akili kubwa tu ndio watakuelewa mzee
 
Ramovic ilikuwa lazima aondoke, kipimo cha kocha Yanga ni CAF champions league
Kwamba uletwe ndani wiki moja mechi zinaanza halafu ufanye vizuri ndani ya muda mfupi kiasi hiko, basi hao watoa vipimo hawajui mpira wakapumzike. Hakuna miujiza ya namna hiyo kwenye mpira wa miguu.
 
Nawasalimia timu zote za umoja wa ufadhiri wa GSM.

Naskia mmeanzisha hadi group la Wasap ili kupashana habari za mafanikio na changamoto zenu.

Yaani sera yenu moja ni kihakikisha kuwa ni lazima mshindi wa ligi kuu atokee kwenye umoja wenu.
 
Kocha amadi maulidi wa yanga hatofika april akiwa bado ni kocha wa yanga
 
Mi kwa Sasa naangalia mpira kama burudani tu Wala sioni maajabu maana team ni Yao
Shabiki ni fala tu wao wanajua Kila kitu hakuna haja ya kuwaaaaaaza
 
Mpira una njia na taratibu zake, hakuna maajabu yanayoweza kutokea tena baada ya uongozi wa Yanga kurudia kosa kwa mara ya pili mfululizo. Timu ilifanyiwa mabadiliko ya benchi la ufundi kwa kuja Ramovic, timu ili struggle kwa mechi kadhaa ila ikaja kutulia baadae, bahati nzuri mechi za klabu bingwa ndizo zilizotangulia kuliko ligi kuu hivyo ligi kuu ilichezwa wakati Yanga ikiwa imeanza kurejea kwenye kiwango chake.

Timu ilishakaa sawa na tuliona Yanga ikiwa inapata ushindi mnono wa magoli 3+ mnakuja kuleta kocha mpya nae aanze na upya kabisa kuweka falsafa zake huku timu ikikabiliwa na mechi back to back za ligi kuu.

Kuna shida kubwa la mambo ya kimkataba kwa huu uongozi wa Yanga, kocha anaondoka kirahisi tu kisa kapata timu nyingine yenye maslahi zaidi yaani ni ovyo sana katika mambo ya sheria za kimkataba na ndio maana kesi zote mnashindwa hovyo hovyo.

Kwa hapa Simba apewe tu kombe la NBC Hersi hayuko serious kabisa na njia za mpira kwa msimu huu.
Yanga wana shida nyingi ila mwanasheria wao anawarudisha nyuma sana mtu anavunja mkataba kama anavunja kikombe aisee yule jamaa atakuwa ni ndugu na engineer hersi ngoja niishie hapo kwanza.
 
Mpira una njia na taratibu zake, hakuna maajabu yanayoweza kutokea tena baada ya uongozi wa Yanga kurudia kosa kwa mara ya pili mfululizo. Timu ilifanyiwa mabadiliko ya benchi la ufundi kwa kuja Ramovic, timu ili struggle kwa mechi kadhaa ila ikaja kutulia baadae, bahati nzuri mechi za klabu bingwa ndizo zilizotangulia kuliko ligi kuu hivyo ligi kuu ilichezwa wakati Yanga ikiwa imeanza kurejea kwenye kiwango chake.

Timu ilishakaa sawa na tuliona Yanga ikiwa inapata ushindi mnono wa magoli 3+ mnakuja kuleta kocha mpya nae aanze na upya kabisa kuweka falsafa zake huku timu ikikabiliwa na mechi back to back za ligi kuu.

Kuna shida kubwa la mambo ya kimkataba kwa huu uongozi wa Yanga, kocha anaondoka kirahisi tu kisa kapata timu nyingine yenye maslahi zaidi yaani ni ovyo sana katika mambo ya sheria za kimkataba na ndio maana kesi zote mnashindwa hovyo hovyo.

Kwa hapa Simba apewe tu kombe la NBC Hersi hayuko serious kabisa na njia za mpira kwa msimu huu.
Engineer haingii uwanjani kucheza, hapo wa kulaumiwa ni wachezaji, mchezaji kama Mudathiri ni mchezaji mzuri kwenye kukaba na kupiga back bass tu, hajui kupiga pass za mbele na makocha wote wameshinda kumbadilisha, Pacome ana dribblings za kiwaki, Aziz K hajui kupiga penati wala kona na faulu zake hata akiwa angle ngumu anataka kufunga, Max na yeye anajiona Mesi, Msonda hajiamini akiwa na mpira, Dube kapoteza uwezo wa kupiga mashuti sahihi, anajibutulia tu🚮🚮

Hapa tuwalaumu wachezaji mkuu!
 
Kuna baadhi ya wachezaji ndani ya Yanga wataharibu timu kama watazidi kuonekana kuwa bila wao timu haiwezi kuwa timu
Mpira una njia na taratibu zake, hakuna maajabu yanayoweza kutokea tena baada ya uongozi wa Yanga kurudia kosa kwa mara ya pili mfululizo. Timu ilifanyiwa mabadiliko ya benchi la ufundi kwa kuja Ramovic, timu ili struggle kwa mechi kadhaa ila ikaja kutulia baadae, bahati nzuri mechi za klabu bingwa ndizo zilizotangulia kuliko ligi kuu hivyo ligi kuu ilichezwa wakati Yanga ikiwa imeanza kurejea kwenye kiwango chake.

Timu ilishakaa sawa na tuliona Yanga ikiwa inapata ushindi mnono wa magoli 3+ mnakuja kuleta kocha mpya nae aanze na upya kabisa kuweka falsafa zake huku timu ikikabiliwa na mechi back to back za ligi kuu.

Kuna shida kubwa la mambo ya kimkataba kwa huu uongozi wa Yanga, kocha anaondoka kirahisi tu kisa kapata timu nyingine yenye maslahi zaidi yaani ni ovyo sana katika mambo ya sheria za kimkataba na ndio maana kesi zote mnashindwa hovyo hovyo.

Kwa hapa Simba apewe tu kombe la NBC Hersi hayuko serious kabisa na njia za mpira kwa msimu h
 
Kesho dakika ya Kwanza tu Simba atapata penati ya mchongo.
Tulinyimwa penalty tatu za wazi kwenye mechi ya derby kisa mashabiki wa nyuma mtalalamika!
Sheria za soka kwa nini zibadilike inapocheza Simba?
Ina wachezaji bora wanaoweza kuingia ndani ya box kwa kasi iwapo huna mabeki waangalifu lazima usababishe penalty

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Mpira una njia na taratibu zake, hakuna maajabu yanayoweza kutokea tena baada ya uongozi wa Yanga kurudia kosa kwa mara ya pili mfululizo. Timu ilifanyiwa mabadiliko ya benchi la ufundi kwa kuja Ramovic, timu ili struggle kwa mechi kadhaa ila ikaja kutulia baadae, bahati nzuri mechi za klabu bingwa ndizo zilizotangulia kuliko ligi kuu hivyo ligi kuu ilichezwa wakati Yanga ikiwa imeanza kurejea kwenye kiwango chake.

Timu ilishakaa sawa na tuliona Yanga ikiwa inapata ushindi mnono wa magoli 3+ mnakuja kuleta kocha mpya nae aanze na upya kabisa kuweka falsafa zake huku timu ikikabiliwa na mechi back to back za ligi kuu.

Kuna shida kubwa la mambo ya kimkataba kwa huu uongozi wa Yanga, kocha anaondoka kirahisi tu kisa kapata timu nyingine yenye maslahi zaidi yaani ni ovyo sana katika mambo ya sheria za kimkataba na ndio maana kesi zote mnashindwa hovyo hovyo.

Kwa hapa Simba apewe tu kombe la NBC Hersi hayuko serious kabisa na njia za mpira kwa msimu huu.
Bado mechi 12 uje uongee ayo mwisho wa msimu sio sasa,,aluta continua mapambano yanaendelea
 
Tulinyimwa penalty tatu za wazi kwenye mechi ya derby kisa mashabiki wa nyuma mtalalamika!
Sheria za soka kwa nini zibadilike inapocheza Simba?
Ina wachezaji bora wanaoweza kuingia ndani ya box kwa kasi iwapo huna mabeki waangalifu lazima usababishe penalty

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Shabiki wa NYUMA ni baba ako
 
Back
Top Bottom