Activity Ratio
JF-Expert Member
- Jun 9, 2016
- 554
- 577
Amesoma vitu tofauti na vinavyofundishwa mashuleni ndiyo maana hana vyetiKumbe alikuwa hajasoma .
Kusoma sio kumaliza kila kitu, ila akili za ziada zinasaidia.
Nakumbuka Kuna jaamaa mmoja aliwahi kusema hivi.
"mimi sijasoma, nina nyumba nzuri, maisha mazuri, na chochote ninachokitaka napata."
Nashangaa Yeye kasoma lakini Hana maisha mazuri "alikuwa akimsema mtu.
Kumbe alikuwa hajasoma .
Kusoma sio kumaliza kila kitu, ila akili za ziada zinasaidia.
Nakumbuka Kuna jaamaa mmoja aliwahi kusema hivi.
"mimi sijasoma, nina nyumba nzuri, maisha mazuri, na chochote ninachokitaka napata."
Nashangaa Yeye kasoma lakini Hana maisha mazuri "alikuwa akimsema mtu.
Huyu Shigongo ni janja-janja tu inayomuweka mjini. Kama anajiamini aingie UDSM sio huko TURDACO/KKKKKKTNimemsoma Eddi Ganzel na Elvis Musiba, na nawakubali ila huyu jamaa vitabu vyake vimenishinda
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda useme ni Malofa... Ila Wapumbafu Mkulu alushawataja.asilimia 100 ya wanaomdhihaki erick shigogo kwenye uzi huu,ni "mapumbafu na malofa" in mkapa's voice.
Nadhani atasoma Chuo na kutunukiwa degree yake kama ya mzee wa Kiraracha Lyatonga
Hehehe na kweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mbele kwa mbelewanaccm kwa unaa utawaweza basi?!!! itakuwa kalipwa ama alitekwa masaa kadhaa akapigwa mikwala na pushap za hapa na pale akatishiwa kufungiwa beshara ya udaku akaona 'BORA YESHEE'......... in mzee Yusuph voice😱😱😱😱😱😱
Amchukue na Bashite wakasome pamoja.
Mkuu mbona jamaa ana nyota ya kufeli,ccm alifeli,la saba alifeli akarudia akafeli,mahotel yamefeli,mtihani wa kujiunga chuo amefeli sasa huko anakoenda si ndo atafeli zaidi na kujikamua uhai?Mjasiriamali na Mtunzi wa vitabu mashuhuri nchini Tanzania, Erick James Shigongo anatarajia kurudi shule na kusoma elimu ya shahada baada ya kuhangaika muda mrefu kutafuta nafasi hiyo, huku akisukumwa na masimango na matusi ya mitandaoni.
Eric Shigongo
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Erick Shigongo ameandika waraka mrefu akielezea safari yake kitaaluma na furaha aliyonayo, ya kuweza kufikia ndoto yake ya kuwa na elimu ya chuo kikuu, licha ya kuwa na mafanikio makubwa kwenye kazi zake za utunzi na maisha kiujumla.
“Ndoto imetimia, hatimaye naingia Chuo Kikuu, nikiwa mtoto nilitamani sana kusoma hadi chuo kikuu lakini sababu ya umasikini na mazingira magumu hasa shule nilizosoma, sikufaulu mtihani wa darasa la saba, nikarudia darasa la saba katika shule nyingine lakini bado sikufaulu, nilijiona mjinga! Nikajaribu kupitia njia ya ‘vikozi’ vidogo ili hatimaye niingie chuo kikuu lakini sikufanikiwa, nikaachana na ndoto hiyo na kuanza ujasiriamali”, ameandika Erick Shigongo.
Erick Shigongo alendelea kuandika akisema kuwa ndoto yake hiyo imefanikiwa baada ya kujiunga na mfumo wa RPL ambao hufanya watu wenye uzoefu fulani katika jamii bila kuwa na elimu, na kuwapa nafasi ya kusoma elimu ya juu, ndipo alifanikiwa kupata nafasi mwaka huu, baada ya kufeli mwaka jana.
“Nikakusanya vitabu vyangu ambavyo nimekwishaandika na kuvipeleke Tume ya Vyuo Vikuu na kuomba niruhusiwe kufanya mtihani huo, nikaruhusiwa, mwaka jana nikafanya na kufeli, sikukata tamaa, mwaka huu nikafanya tena na kufaulu, hivyo mwezi wa tisa ninaanza mwaka wa kwanza “, ameandika Erick Shigongo.
Chanzo: Bongo5