KakindoMaster
JF-Expert Member
- Dec 5, 2006
- 1,356
- 88
Kalamu,
1. Elimu 2. Elimu 3. Elimu
Naafikiana nawe kiasi fulani tu!
Mimi ningesema Elimu na infrustructure. Utajengaje shule wakati huna barabari kupishia building materieals? Hivyo Vyuo/shule zitajengwaje bila miundo mbinu?
Or kalamu do you mean Elimu na Associated Infustructure to support Development in Elimu?
Ninamaana, misaada inayotolewa na wafadhiri - priority ni Elimu.
Miundombinu ni mhimu, fanya juu chini kuishughulikia hata kwa pato la ndani na harambee ya wananchi. Barabara za tope nyingi vijijini kote zimechimbwa na nguvu za wananchi. Endelea kuziimarisha kadri ya mafanikio ya "Elimu" yatakavyoendelea kuimarika.
Kalamu,
Pesa za kodi ndo zitumike katika elimu au misaada? Kama wewe ni baba wa familia ni vyema kweli Wafadhili wakusomeshee watoto wako na wewe utumie mapatao ya ndani katka barabara? Mimi I would prioritise kusomesha kwa mapato ya ndani- na kama ukipatikana msaada ujenge barabara!
Mzalendohalisi, ni sawa mawazo yako. Kama hela ya ndani ipo kutosheleza malengo yaliyowekwa kwa kila mwaka kufikia maendeleo ya elimu kilichokadiriwa kufikiwa. Kama pato la ndani halitoshelezi kufikia hayo malengo ya mwaka nitasitisha miradi ya barabara kwa muda. Hakuna ubaya wowote kwa kutumia pesa ya misaada kwa kuendeleza elimu; ni kiasi cha kupanga tu na kukubaliana na wafadhiri. Usisahau, wengi wa wasomi wetu hapa Tz wamesoma kwa misaada hiyo hiyo. Ninathubutu hata kusema kuwa asilimia zaidi ya tisini za Ph.D. hapa zimepatikana kwa pesa ya misaada. Mikakati yote inayofanyika sasa hivi kufufua elimu, Primary hadi sekondari unazozisikia kila leo, angalia kama si mikopo au misaada; pamoja na madeni tuliyosamehewa! Sasa mimi nasema, hayo madeni tuliyolimbikiza miaka yote hiyo ambayo sasa yanasamehewa, sehemu kubwa ya madeni hayo tungekuwa tumeyaelekeza kwenye elimu, hali yetu wakati huu ingekuwa nafuu zaidi kuliko tuliyonayo sasa hivi!
Naomba uelewe kuwa sipingi 'Infrastructure' kuwa mhimu sana katika jitihada za kuleta maendeleo. Lakini kwa maoni yangu ni kwamba msisitizo maalum kwa kipindi cha miaka kadha ningekielekeza kwenye elimu kwanza.
African officials embezzling aid
24.04.2008
Following revelations of foreign aid going astray in Tanzania, Danish development aid will be scrutinised to avoid inconsistencies
Millions of kroner in foreign aid end up in the wrong pockets in the African nation of Tanzania, reports public broadcaster DR.
According to Arthur Andreasen, a Danish accountant who has worked in Tanzania for 20 years, up to half of the aid does not reach those who need it.
Andreasen recently investigated Norwegian aid to the nation on behalf of the Norwegian government. His report, which caused a stir in Norway, showed that between a third and half of the aid disappeared before it reached its intended recipients.
Danish aid to Tanzania - over 500 million kroner annually -makes Denmark the seventh largest donor to the country.
However, as was the case with Norwegian aid, up to half of the money has wound up in the pockets of corrupt officials and politicians, said Andreasen.
He said one way of embezzling the money was to allocate it for non-existent projects and people. Another method was to write fictitious or excessively high bills and receipts.
His findings caused Erik Solheim, the Norwegian development minister, to withdraw 250 million kroner in support from a nature regeneration project recently.
At the same time, the Norwegian government decided to strengthen monitoring of development aid, but Andreasen said that it was not enough for only one country to react.
'If all governments follow suit, it would have an effect. However, if only one country does it, the recipient country might not react, he said, urging the Danish government to heighten its controls on foreign aid.
Ulla Tørnæs, the development minister, told DR that she would address the matter with her Norwegian colleague.
Denmark has been giving aid to Tanzania since the early 60s and finances projects dealing with gender equality, human rights, democratisation and corruption
Heshima mbele.... Kuna ndugu aliwahi kusema, "Ni bora kupata kibano kwa kipindi kifupi ili upate starehe/raha ya muda mrefu au kwa vizazi vijavyo".
Swali ni, Je tupo tayari kupokea kibano kwa ajili ya mabadiliko???