Hatimaye Fred Saganda Ntogwishango apata mke.

KING MIDAS

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2010
Posts
8,589
Reaction score
16,936
Apataye mke apata kitu chema. Hatimaye msanii mkongwe mjini Fred Saganda Ntogwisango amepata mke.

Fred Sanganda ni msanii mwenye vipaji lukuki, ni mchekeshaji, mwimbaji, mpigaji wa ala za muziki, ni producer, ni sound engineer, ni mchora katuni, na pia ndiye twiga wa kwenye katuni za Ubongo Kids.







 
Jamaa anakipaji kikubwa sana,kazi zake nyingi ni nzuri.
Napenda akiigiza ile sauti yake ya kichaga nzito flani hii,huwa inafanana sana na anko wangu anaitwa Mr.Mtenga.
Kweli usemayo jamaa kipaji anacho.

Ile nyimbo yake ya kichagha mwanzo nilipoisikia nilikataa kama mwimbaji siyo Mchagha kuja kujua ubini wake wa kihaya nikashangaa sana.
 
Nilikuwa sifaham mkuu, kumbe ndo yule twiga wa kwenye ubongo kds mwenye lafundi ya kichaga, upweke unauma, upweke unauma.
 
Kaoa mzazi mwenzake... Chombo inaonekana kabisa used from gheto kwake kitambo
 
Kweli usemayo jamaa kipaji anacho.

Ile nyimbo yake ya kichagha mwanzo nilipoisikia nilikataa kama mwimbaji siyo Mchagha kuja kujua ubini wake wa kihaya nikashangaa sana.
siowewe tu,hata leo hii mtu akisikia ile nyimbo anajua jamaa ni mangii.
kizuri zaidi kwenye iyo nyimbo kahusisha kastory kafupi kuhusisha pombe,basi ndo kabisaa unajua huyu ni mchaga pure😂😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…