Hatimaye Gerald Hando aaga rasmi kambi ya Ukapela

Wanawake wanamatatizo mengi sana na dunia ni nyepesi kuwaonea huruma binafsi hata anvemwacha malkia gani lakini akachagua yule anaeona atamfaa katika masha yake mmi nampa heko na pongezi nyingi kwa sababu kwanza ni maisha yake na pili yeye ndie anaejua mapungufu ya kitabia ya yule aliemwacha.

NB: Sura a maumbile ya wanawake yanadanganya sana macho lkn hawafai hata kwa kuwapa dawa ya tabia nzuri.
 
i
ndeed so lovely
 
Mimi ni mmojawapo...ndoa tamu jamaniii nampenda mme wangu...
 
omba yasikukute mambo haya, halafu mapenzi yao yalikuwa open tu masikini...ila bibi harusi naye katia fora si kwa gauni hilo naona lulu alikuwa kama ndio bibi harusi ukumbini
Hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…