Kwa nini mkuu???Iman Madega ni moja kati ya watu wanaoidhalilisha taaluma ya sheria
Kwa nini mkuu???
Timu ya kusaka helaHivi huko Kilimanjaro hakuna Timu ya mpira hadi wote wawe Yanga/Simba?
Ndio mwenuekiti huyo.Mzee Akilimali hawezi pigiwa kura hata na mkewe
Kwa sababu mijitu kama wewe haijitokezi kugombea!Mbona ni mijitu ile ile kila siku.
Wapo. Ila kazi zao ni kalalama tu, kuchukua form wanaona ni jukumu la wengine!Hamna wanachama wengine wapya wa kugombea hizi nafasi kubwa?
Madega mvurugaji sana!...ni kama alivyokuwa Richard Wambura Mikia Fc.Madega,Tarimba na Akilimali wana jipya lipi tena Yanga,Yanga igeni Simba katika hili. Piga chini wote hasa Madega,amesahau nini.
Mijitu kama mimi ipo nje ya nchi. Je jitu wewe una sababu gani?Kwa sababu mijitu kama wewe haijitokezi kugombea!