Hatimaye Halima Mdee na Mzee wa AkiliMali wachukua fomu kugombea uongozi yanga

Hatimaye Halima Mdee na Mzee wa AkiliMali wachukua fomu kugombea uongozi yanga

Mijitu kama mimi ipo nje ya nchi. Je jitu wewe una sababu gani?
Jitu mimi umri hauniruhusu kugombea nafasi tajwa Kikatiba!

Hongera jitu wewe kwa kuishi nje ya nchi.
 
Tarimba anafaa kutuongoza wana Yanga pia Halima Mzee kichwa namkubali kuwa miongoni mwa wajumbe.
 
Waliochukua fomu ya kugombea nafasi mbalimbali ndani ya Klabu kongwe nchini Yanga itakayofanya Uchaguzi wake tarehe 13 January, 2019:-

Nafasi ya Mwenyekiti:-
1. Tarimba Abbas Tarimba.
2. Iman Mhugura Madega.
3. Ibrahim Akilimali.

Makamu Mwenyekiti:-
1. Said Mecky Sadiq.
2. David Mosha.
3. Mbaraka Igangura.

Nafasi nne za wajumbe wa Kamati Tendaji:-
1. Abdallah Binkleb.
2. Hussein Ndama.
3. Shija Richard.
4. Hamad Islam.
5. Paul Malume.
6. Isack Chanji.
7. Aroni Nyanda.
8. Yusuph Mhendeni.
9. Ally Mayai.
10. Mhe. Halima Mdee.View attachment 929706View attachment 929707View attachment 929708
Hivi ni rahisi kuchanganya siasa na michezo, au inasaidia kukujenga kisiasa na kukufanya high profile kama walivyofanya Dewji, Manji?
 
Bakora zinatembea sasa hivi huko jangwani. Vurugu kwa kwenda mbele wengine wanataka uchaguzi wengine wanapinga.
Vyura bakora hazisaidii siku hizi. Mazungumzo pekee ndio yanajenga.
Njaa mbaya wewe wacha tu.
 
Bakora zinatembea sasa hivi huko jangwani. Vurugu kwa kwenda mbele wengine wanataka uchaguzi wengine wanapinga.
Vyura bakora hazisaidii siku hizi. Mazungumzo pekee ndio yanajenga.
Njaa mbaya wewe wacha tu.
Kuna vichwa vingine ni vigumu sana kuelewa bila nyenzo then henzereni acha tu itumike
 
Madega,Tarimba na Akilimali wana jipya lipi tena Yanga,Yanga igeni Simba katika hili. Piga chini wote hasa Madega,amesahau nini.
Tarimba anaweza kuwa na jipya cos alipingwa miaka ya uongozi wake alipotaka Yanga kuwa kampuni, ikaleta mpasuko na Yanga asili
 
Back
Top Bottom