Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Wiki kadhaa zimepita hamisa alikua na skendo ya kwenda kwa mganga, habari ikiwa ni kumloga mama dangote ili ampende na pia mzazi mwenzie wa pili diamond platinum ili amuoe na ampe nyumba kwani wamekua katika uhusiano muda mrefu sana yapata miaka kumi, lakini jamaa haoneshi dalili yoyote bali amekua kama menstrual cycle anaenda na kurudi anaenda na kurudi.
Mrembo huyo kwenye miaka 23 kwa sasa, ameonekana kuchoka kuchomeshwa mahindi miaka 10 yote (maana hiyo alikua na diamond akiwa na miaka 13).
Katika interview aliyofanya leo amekiri ile voice note ni yeye kweli ila alikua anaongea na sheikh kwa ajili ya dua (sheikh anaagiza kondoo kwa ajili ya dua koh koh), pamoja na hilo hamisa amefunguka kunusurika kichapo kutoka kwa mama diamond ambapo alifanikiwa kuchoropoka mama akabaki na wigi mkononi.
Numbisa utasaidia kuattach interview
Mrembo huyo kwenye miaka 23 kwa sasa, ameonekana kuchoka kuchomeshwa mahindi miaka 10 yote (maana hiyo alikua na diamond akiwa na miaka 13).
Katika interview aliyofanya leo amekiri ile voice note ni yeye kweli ila alikua anaongea na sheikh kwa ajili ya dua (sheikh anaagiza kondoo kwa ajili ya dua koh koh), pamoja na hilo hamisa amefunguka kunusurika kichapo kutoka kwa mama diamond ambapo alifanikiwa kuchoropoka mama akabaki na wigi mkononi.
Numbisa utasaidia kuattach interview