Hatimaye Hamisa Mobetto akubali ile voice note na mganga ni sauti yake

[emoji3][emoji16][emoji23][emoji3][emoji3]kama sio mbongo kinakuuma nini sasa...pyeeeeee!!
Kinaniuma kukuona wewe unakesha ukiumizwa na maendeleo ya mwenzio. Mara bibi mara anapenda wanaume wadogo mara hivi. Yasingekuuma ungekua umetulia na wanao unawafundisha hesabu saiv [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unampenda zari kweli mpaka unaijua passport yake ya kwanza ikoje. Vipi hamisa passport yake ya kwanza imeandikwa kazaliwa mwaka gani
Mimi simchukii nasema ukweli kua bibi kizee passport yake iko 1975 halafu ujue Ivan alishasema Zari ni mkubwa kuliko kipindi hicho alikua 40[emoji3][emoji16][emoji2][emoji23][emoji3][emoji3]poleni kwa kukaaa lock up
 
Kinaniuma kukuona wewe unakesha ukiumizwa na maendeleo ya mwenzio. Mara bibi mara anapenda wanaume wadogo mara hivi. Yasingekuuma ungekua umetulia na wanao unawafundisha hesabu saiv [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaaa...hujui Leo ni wikiendi halafu hapa ni celebrity forum...eti..

Huyo miaka 43 wenu muambieni aache kudanganya umri jamani [emoji3][emoji16][emoji16]

Punguza hasira shostii!!!

Waswahili wanamsemo unasema hivi...kama unavila vya mwari basi kungwi ngoja vyako vitaliwa...pia
 
Mimi simchukii nasema ukweli kua bibi kizee passport yake iko 1975 halafu ujue Ivan alishasema Zari ni mkubwa kuliko kipindi hicho alikua 40[emoji3][emoji16][emoji2][emoji23][emoji3][emoji3]poleni kwa kukaaa lock up
Ivan alisema lini?? Ebu lete nione.
 
Hasira unazo wewe bibi yangu maana unakesha ukiombea mwenzio adhalilike na ishakua yupo kileleni humkuti. Kama wewe ni mama yake mzazi basi kweli unaujua umri wa mwanao [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Ivan alisema lini?? Ebu lete nione.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] punguza presha basii

Sisi watani wa jadi punguza hasira...tuliaaa...

Usipanick PeeCee...bwanaa
 
Mimi nahisi ni uongo, inawezekana kuwekwa lock up kisa umri?
 
Hasira unazo wewe bibi yangu maana unakesha ukiombea mwenzio adhalilike na ishakua yupo kileleni humkuti. Kama wewe ni mama yake mzazi basi kweli unaujua umri wa mwanao [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Mimi nacheka balaaa hapa!!unavyopovukaa!!

Poleni kwa kukaa cello!!
 
Mimi nacheka balaaa hapa!!unavyopovukaa!!

Poleni kwa kukaa cello!!
Yani nipovukie maandishi [emoji23][emoji23][emoji23] nipo zangu hapa nimekunja nne nakucheka wewe na miwivu yako. Mana mzazi wa hamisa na zari unayejua wanao wamezaliwa mwaka gani.
 
Mimi nahisi ni uongo, inawezekana kuwekwa lock up kisa umri?
Shoga passport ya mwanzo alionyesha kazaliwa 1975 juzi 1978,Leo 1980...wenzetu record zao zinawekwa kwenye kompyuta....enzi na enzi

Bibi huyo mmoja anakua na umri tofauti ...hapo ndipo sheshe lilianza...!!na mbaya zaidi kaenda kuchonga sura kawa km Miachel Jackson[emoji3][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji16]
 
Yani nipovukie maandishi [emoji23][emoji23][emoji23] nipo zangu hapa nimekunja nne nakucheka wewe na miwivu yako. Mana mzazi wa hamisa na zari unayejua wanao wamezaliwa mwaka gani.
Sio kweli jikazee tuu

Sisi watani ukikeep serious shauri yakoo!!

Pole kwa kukaa cello
 
Maisha ya huyo binti yamejaa uongo tu ndani ya hiyo miaka 10 majizo alikua wapi sijui au majizo alidate nae akiwa na 8years
Bibi wee...tukinao mwenyewe kafoji seuse Misssaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…