Hatimaye Hamisa Mobetto akubali ile voice note na mganga ni sauti yake

Siku moja wakati bado nina account ya instagram nilifuatilia account ya huyu dada....nikaona baadhi ya vitu alivyoandika nikagundua SHULE LESS nikamshusha vyeo mpaka sishangai chochote juu yake. Shule muhimu sana hapa Tanzania. Mbele huko ndo kuna celebs hawana shule tu na akili zao zimetulia.
 
Mambo muhimu ya kuzingatia
1. Ni kweli analoga ili awe na Mondi
2. Kipigo ni kweli alikipata kutoka kwa final say teh teh
3. Anachojali ni fame na pesa hata adhalilishwe vip
4. Yuko tayari kuzaa tena na Mondi pamoja na yote (kigugumizi na kusema Hana uhakika)
5. Hawezi gombana na mwanamke mwenzake kwaajili ya Mwanaume Ila Mondi anaweza (tujikumbushe pussy so good na mambo ya old porn star)
Hitimisho
Sasa dai analogwa na wangapi familia bado Wanawake!

Apunguze ujinga Mondi grow the f*ck up !

Hamisa that's what so called KARMA don't play innocent or victim
 
Yani hamisa anamiaka 23 umalaya alianza akiwa na miaka 15 au
 
Anakataaga hivi hivi,mwisho wa siku utasikia anamimba ya huyo huyo.Sisi tunawangalia tunawacheck iiishii!
 
Matokeo yake ya form four yapo hadi insta "alitaga" waja wakiamua kukukalia kooni shida
 
Hamisa hajafanya plastic surgery usoni hizo make up akioga zunatoka

Surgery vs make up na editing za hatari wote walewale hawaamini uzuri wao tofauti zao labda wa make up kashindwa kuafford garama za surgery otherwise nae angefanya, ref ile video anakataa kuchukuliwa video kisa hana makeup.

Siku nyingine tutafanya kuwalinganisha
Surgery na make up
Kuloga na kusali
Kufichwa na kutambulishwa
Kuvaa vigodoro
N.k hii ni hamisa na mganga teh
 

Hamisa alikua anatamani maisha ya vile alihisi nae akizaa itakua vile vile, mapenzi kuanzia chumbani hadi kwenye boti tutayaona, ukisikia bahati ya mwenzio ilalie mlango wazi uliwe na fisi ndo huko sasa.

Ila mama dangote kiboko kumpiga vile mkwe hadi kawigi kakadondoka, inachekesha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…