Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
- Thread starter
-
- #41
Una madem watatu mmoja anakuloga umpende, mmoja anakuloga umhonge, mwingine anakuloga usione mwingine zaidi yake wanaume mnapata tabu sana.Wanaume ndio maana tunatembea uchi na kuokota makopo
Sasa upate mademu watatu wa hivi dua tatu sikuijie si ma file ya windows kwenye ubongo yana corrupt yote
Hamisa yupo tayari tena kwa moyo mweupe ni vile tu mama dangote hamtaki.miaka 10 mi siwezi aisee
Lazima ufanikiwe,hao wote wanakuroga upate helaUna madem watatu mmoja anakuloga umpende, mmoja anakuloga umhonge, mwingine anakuloga usione mwingine zaidi yake wanaume mnapata tabu sana.
Anakataaga hivi hivi,mwisho wa siku utasikia anamimba ya huyo huyo.Sisi tunawangalia tunawacheck iiishii!
Aaah wapi, mi ndo maana nikiona mwanaume muda mwingine anafanya ujinga sijisumbui nahisi inakua sio akili zake kuna mjinga anamchezeshea antenna.Lazima ufanikiwe,hao wote wanakuroga upate hela
Hapa ndipo anaponiacha hoi, kwa maana hiyo Diamond inabidi akamatwe kwa kusodomize Hamisa toka utotoni?
Kama wewe ulivo mbeaGreat thinkers nayo wambea
Ha ha ila wanaume tunarogwa aisee;tunakula sana vitu vya ovyo majumbani humuAaah wapi, mi ndo maana nikiona mwanaume muda mwingine anafanya ujinga sijisumbui nahisi inakua sio akili zake kuna mjinga anamchezeshea antenna.
Nyie kuna muda mnahitaji kuhurumiwa tu na sio maneno maneno...Ha ha ila wanaume tunarogwa aisee;tunakula sana vitu vya ovyo majumbani humu
Analilia nyumbaWiki kadhaa zimepita hamisa alikua na skendo ya kwenda kwa mganga, habari ikiwa ni kumloga mama dangote ili ampende na pia mzazi mwenzie wa pili diamond platinum ili amuoe na ampe nyumba kwani wamekua katika uhusiano muda mrefu sana yapata miaka kumi, lakini jamaa haoneshi dalili yoyote bali amekua kama menstrual cycle anaenda na kurudi anaenda na kurudi.
Mrembo huyo kwenye miaka 23 kwa sasa, ameonekana kuchoka kuchomeshwa mahindi miaka 10 yote (maana hiyo alikua na diamond akiwa na miaka 13).
Katika interview aliyofanya leo amekiri ile voice note ni yeye kweli ila alikua anaongea na sheikh kwa ajili ya dua (sheikh anaagiza kondoo kwa ajili ya dua koh koh), pamoja na hilo hamisa amefunguka kunusurika kichapo kutoka kwa mama diamond ambapo alifanikiwa kuchoropoka mama akabaki na wigi mkononi.
Numbisa utasaidia kuattach interview
View attachment 873771
View attachment 874030
Nyie kuna muda mnahitaji kuhurumiwa tu na sio maneno maneno...
Analilia nyumba
Analilia ndoa
Anaomba sheikh amsomee dua!
Mabinti zetu bado sana! Wenzenu wanalilia mitaji ya biashara ili waweze kusimama wenyewe... Lakini pia kwa ukubwa wa jina lake huko Instagram na mashauzi yote yale kumbe bado anapanga?
Eeh Mungu baba wasaidie vijana wako hawa
Hahaaa We Evelyn Salt, umenichekesha sana hayo wanaume hatuyaepuki. Kuna mkoa fulani niliwahi kuishi ukiwa na uhusiano na binti anaenda kwa bibi yake au ndugu yake ambaye ni mzima. Anampa mambo utajikuta umeowa bila kujielewa
Eeh si umeona huyo shehe katoa ubuyuMashehe nao wanakuwaga SHILAWADU?
Angalia Sana kanda ya kati na nyanda za juu kusini, ukimleta binti wa kazi usije ukajikuta umepinduliwa, kuna mzee mmoja Maeneo ya Bunju alijenga nyumba miaka ya 2000mwanzoni akamtafuta mgogo awe anaishi hapo yaliyomkuta hana hamu na nyumba alimuachiaPale kanda ya kati nini!!! Wale nasikia hata akija kufanya kazi za ndani anaagizwa kabisa "jitahidi sana we ndo ukawe mama mwenye nyumba"
Apambane na hali yake tu hakuna namnaSio tu kupanga amepangishiwa, anahaha kodi ikiisha itakuaje sasa ndo kishatibuana na mlipa kodi sijui itakuaje.
Ndo walivo mastaa uchwara, uwoya, wema wote wamepanga ilhali ya kuwa wanatuonesha maisha mazuri Instagram.