Hatimaye Hamisa Mobetto akubali ile voice note na mganga ni sauti yake

Hatimaye Hamisa Mobetto akubali ile voice note na mganga ni sauti yake

Kwahiyo mashekhe wanaombea kwa pesa...... duhhh kazi ipo kwakweli, uongo mwingine watumiage akili kidogo basi
 
Kwahiyo mashekhe wanaombea kwa pesa...... duhhh kazi ipo kwakweli, uongo mwingine watumiage akili kidogo basi
Na kondoo pia....
Nakumbuka kisauti chake "yule mwanaume anakuja anaenda anakuja anaenda" teh diamond bana!!!!
 
Mambo muhimu ya kuzingatia
1. Ni kweli analoga ili awe na Mondi
2. Kipigo ni kweli alikipata kutoka kwa final say teh teh
3. Anachojali ni fame na pesa hata adhalilishwe vip
4. Yuko tayari kuzaa tena na Mondi pamoja na yote (kigugumizi na kusema Hana uhakika)
5. Hawezi gombana na mwanamke mwenzake kwaajili ya Mwanaume Ila Mondi anaweza (tujikumbushe pussy so good na mambo ya old porn star)
Hitimisho
Sasa dai analogwa na wangapi familia bado Wanawake!

Apunguze ujinga Mondi grow the f*ck up !

Hamisa that's what so called KARMA don't play innocent or victim
Nakazia........
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Siku kakipigwa miti kanaanza jeuri snap..
Pussy soo good, mtoto kama chumvi aliponionja akaomba poo ha ha ha

Hiyo hiyo miaka kumi yupo benchi, akaja wema akajulikana, akaja penny akajulikana, wakapita wa kupita, akaja zari hadi akazaa ye yupo benchi tu, anastahili tuzo side chick of the century.
 
Analilia nyumba
Analilia ndoa
Anaomba sheikh amsomee dua!

Mabinti zetu bado sana! Wenzenu wanalilia mitaji ya biashara ili waweze kusimama wenyewe... Lakini pia kwa ukubwa wa jina lake huko Instagram na mashauzi yote yale kumbe bado anapanga?
Eeh Mungu baba wasaidie vijana wako hawa
Yaaani Mungu azidi kutusaidia.....
 
View attachment 874077
zari alishikiliwa airport akauliza sabau akaambiwa kwamba kunamtu alipiga simu UK airport akatoa taarifa kwamba zari anaingia huko kufanya biashara HARAMU na hana hata viza kwahiyo alipoingia tu wakamshikilia kwa masaa kadhaa wakamhoji na kumpekua lakini mwisho wa siku wakakuta kilakitu kipo sawa wakamuachia. . mtalaka wa mzungu kule wa kushakiza watu wamreport Zari amepost kujisifia kwamba niyeye ndo amecheza huo mchezo na hiyo ni kukomoa team zari kwakua wanamuaibisha PUGI.......[emoji12][emoji12][emoji12]shouger nakuhurumia uwe niwewe kweli kama usemavyo au usiwe wewe unazuga tu ila UNA HASARA tena KUBWA
Hizi team zinawaingizia pesa hao wadangaji,mana kumchafua mtu kwa uhamiaji kua kabeba drug unapata nini?halafu unakuta hao team hali zao mbaya kiuchumi uwezo wao ni kununua bundle tu
 
Team pugi busy kumuwangia zari mxiiieeeewwwww

Ujumbe kwa team pugi,wanahangaika sana pyeeeeep aibu sana uanzisha uzi wa uongo kisha ukafutwa.

Umaskini mbaya sana na siku zote hater wajue hawawezi kumzibia au kumwaribia mtu aliyebarikiwa hata siku moja zari sio mara ya kwanza kwenda UK wazungu wanaakili sana ukishaingia na kutoka nchini kwao wanakuamini kwa asilimia fulani pia wanamsoma mtu(intellegent) kupitia ujasiri zari ni jasiri hata akihojiwa anaonekana yuko makini she knows what she is doing.Ushamba na uteam utawafanya wabongo wazidi kufa na umaskini wao.watoto haramu always wanawaza kiharamu haramu tu[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]b****sht
Shkamoooo[emoji124][emoji124][emoji124]
 
Siku kakipigwa miti kanaanza jeuri snap..
Pussy soo good, mtoto kama chumvi aliponionja akaomba poo ha ha ha

Hiyo hiyo miaka kumi yupo benchi, akaja wema akajulikana, akaja penny akajulikana, wakapita wa kupita, akaja zari hadi akazaa ye yupo benchi tu, anastahili tuzo side chick of the century.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom