Hatimaye Hamisa Mobetto akubali ile voice note na mganga ni sauti yake

Hatimaye Hamisa Mobetto akubali ile voice note na mganga ni sauti yake

Usisahau umri huo ana watoto wawili wa baba tofauti, maisha yake complex sana kama nyeti za mwanamke hayaeleweki hata kwa calculator
Sura yake haiendani na umri anausema nadhani anakaribi 30 sema vipodozi zinambeba lakini naamini ukikutana naye ndo katoka kuamka unaweza ukamkimbia
 
IMG_20180922_124851_542.jpg

Shkamoo editing, ukitaka kuonekana kama kiroba cha unga umependa mwenyewe tu.
 
daaah hapo alipo ana 23 years, inaonyesha mapenzi ameanza akiwa na 5 years
 
Siku moja wakati bado nina account ya instagram nilifuatilia account ya huyu dada....nikaona baadhi ya vitu alivyoandika nikagundua SHULE LESS nikamshusha vyeo mpaka sishangai chochote juu yake. Shule muhimu sana hapa Tanzania. Mbele huko ndo kuna celebs hawana shule tu na akili zao zimetulia.
Aliacha Shule kidato cha pili....
 


Let the past stay where it belongs

Kuna watu wanafurahia sana magumu na mapito ya watu, kibaya zaidi watu hawahawa wanachukizwa na maendeleo ya mtu.
Hamisa ni mwanadamu ana mapungufu lakini watu wanatumia mapungufu yake kuwa kiboko cha kila siku utafikiri wao ni wakamilifu.
Hamisa live your dreams mamiii !
 
Wanaume ndio maana tunatembea uchi na kuokota makopo
Sasa upate mademu watatu wa hivi dua tatu sikuijie si ma file ya windows kwenye ubongo yana corrupt yote
Kuna watu wanafurahia sana magumu na mapito ya watu, kibaya zaidi watu hawahawa wanachukizwa na maendeleo ya mtu.
Hamisa ni mwanadamu ana mapungufu lakini watu wanatumia mapungufu yake kuwa kiboko cha kila siku utafikiri wao ni wakamilifu.
Hamisa live your dreams mamiii !
word
 
Kuna watu wanafurahia sana magumu na mapito ya watu, kibaya zaidi watu hawahawa wanachukizwa na maendeleo ya mtu.
Hamisa ni mwanadamu ana mapungufu lakini watu wanatumia mapungufu yake kuwa kiboko cha kila siku utafikiri wao ni wakamilifu.
Hamisa live your dreams mamiii !

Tawile
 
Kuna watu wanafurahia sana magumu na mapito ya watu, kibaya zaidi watu hawahawa wanachukizwa na maendeleo ya mtu.
Hamisa ni mwanadamu ana mapungufu lakini watu wanatumia mapungufu yake kuwa kiboko cha kila siku utafikiri wao ni wakamilifu.
Hamisa live your dreams mamiii !
Kitoto kichawi saaana ata ukikitetea
 
Back
Top Bottom