Everlyn,. Hivi Hamisa ni mzuri ?Sio tu kupanga amepangishiwa, anahaha kodi ikiisha itakuaje sasa ndo kishatibuana na mlipa kodi sijui itakuaje.
Ndo walivo mastaa uchwara, uwoya, wema wote wamepanga ilhali ya kuwa wanatuonesha maisha mazuri Instagram.
Saa zingine ni kweli lakini! Mara X wako anakupigia mandumba ili mashine izimike,present wako nae anahaha kuifanya mashine yako iwe stable zaidi ya jana! Wakati huo mwenyewe hana habari,yupo bize anavizia kachawi kengine kaingie kwenye 18 zake akivutie nchi kavu.Aaah wapi, mi ndo maana nikiona mwanaume muda mwingine anafanya ujinga sijisumbui nahisi inakua sio akili zake kuna mjinga anamchezeshea antenna.
Ha ha ha sasa hamisa na ustaa wake analoga apendwe, kina mwajuma ndalandefu si ndio hali mbaya poleni wanaume.Saa zingine ni kweli lakini! Mara X wako anakupigia mandumba ili mashine izimike,present wako nae anahaha kuifanya mashine yako iwe stable zaidi ya jana! Wakati huo mwenyewe hana habari,yupo bize anavizia kachawi kengine kaingie kwenye 18 zake akivutie nchi kavu.
Mi hamisa namuona wa kawaida, kawaida kabisa....labda angekua anapost picha akiwa bila make up na too much editing ningeona zaidi ya nionavyo.Everlyn,. Hivi Hamisa ni mzuri ?
Hebu uweke interview nisikilize vizuri kile kinge "NO YOU YOU TALK, AM TALKING TO THE PEOPLE" shkamoo kingereza tunakupenda mnooo japo we hautupendiTeam pugi busy kumuwangia zari mxiiieeeewwwww
Ujumbe kwa team pugi,wanahangaika sana pyeeeeep aibu sana uanzisha uzi wa uongo kisha ukafutwa.
Umaskini mbaya sana na siku zote hater wajue hawawezi kumzibia au kumwaribia mtu aliyebarikiwa hata siku moja zari sio mara ya kwanza kwenda UK wazungu wanaakili sana ukishaingia na kutoka nchini kwao wanakuamini kwa asilimia fulani pia wanamsoma mtu(intellegent) kupitia ujasiri zari ni jasiri hata akihojiwa anaonekana yuko makini she knows what she is doing.Ushamba na uteam utawafanya wabongo wazidi kufa na umaskini wao.watoto haramu always wanawaza kiharamu haramu tuππππb****sht
Amefuta na post nini make ni uongo tu, yule dada mwenye vitakle kama vya mtoto ana tabu sanaView attachment 874077
zari alishikiliwa airport akauliza sabau akaambiwa kwamba kunamtu alipiga simu UK airport akatoa taarifa kwamba zari anaingia huko kufanya biashara HARAMU na hana hata viza kwahiyo alipoingia tu wakamshikilia kwa masaa kadhaa wakamhoji na kumpekua lakini mwisho wa siku wakakuta kilakitu kipo sawa wakamuachia. . mtalaka wa mzungu kule wa kushakiza watu wamreport Zari amepost kujisifia kwamba niyeye ndo amecheza huo mchezo na hiyo ni kukomoa team zari kwakua wanamuaibisha PUGI.......πππshouger nakuhurumia uwe niwewe kweli kama usemavyo au usiwe wewe unazuga tu ila UNA HASARA tena KUBWA
Hebu uweke interview nisikilize vizuri kile kinge "NO YOU YOU TALK, AM TALKING TO THE PEOPLE" shkamoo kingereza tunakupenda mnooo japo we hautupendi
Amefuta na post nini make ni uongo tu, yule dada mwenye vitakle kama vya mtoto ana tabu sana
"No some people their just kurudiana"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kuongea kizungu nacho kipaji,mtu alitaga tena akitokea st kayumba si ajikubali tu na kuongea kiswahili. Udhaifu wangu upo kwenye kuapload audio na video
hivi ndivo watakavokua wanacheki picha za zari akikihapenisha LondonKwa aibu amefuta,na msukule wake wa humu nao ukaenda bembeleza mods waufute uzi aliouanzisha kuhusu zari
"No some people their just kurudiana"
Mama dangote alisema kuongea kiingereza hadi uone mic teh, ras simba achangamkie fursa.
Baada mjadili mustakabali wa kinachoendelea kwenye taifa letu kwa sasa nyie mmekalia umbea
Hapa ni celebrities forum, nenda ukajadilie panapohusika....Baada mjadili mustakabali wa kinachoendelea kwenye taifa letu kwa sasa nyie mmekalia umbea
Miaka yake ina rudi nyuma ππππAna miaka 23, na ana watoto wawili kale kabinti nadhani kana mitano....
Hata kama ila kwa sasa cyo muda muafaka pia wa kujadili hata hayo mambo ya umaarufu nduguHapa ni celebrities forum, nenda ukajadilie panapohusika....