Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hivi kilimshindwa nini hata kusema NO ya kinafki!!yani na kigugumizi juu...ila celebrities waendelee hivyo hvyo mana ndo wanatupunguzia stress ya kitaa.
We nawe zilipendwa bwanaa!!!
Tushakuchokaaa[emoji3][emoji16][emoji23][emoji23][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mchana wa leo kuna kuna mwaka umeongezeka imefika 24Ana miaka 23 hehehehehe
Shida ni njaa kali sana anategemea mtoto ndio ampe. maisha kwahiyo akizalishwa mtoto wa 3 ndio atakua na uhakika wa maishaHuyu dada sijui ndo pepo la umaskini au la Ngono linamsumbua, juzi tu domo kakudhalilisha hadharani kuwa unamroga hakutaki, halafu unahojiwa kwenye media kama upo tayari kuzaa na diamond unasema inategemea, hivi wewe zimo kweli kichwani? , Tatizo ni elimu , umaskini au una pepo la ngono
Fedha sio kitu cha ajabu wengi wanazo....We hujui kuwa Domo ana pesa na Mwanamke kama yule unadhani anafuata nini kwake zaidi ya pesa?
Kalaghabao utaishia hivyo hivyo tu
ZERO BRAIN aka BASHITE aka NYUMBU.Huyu dada sijui ndo pepo la umaskini au la Ngono linamsumbua, juzi tu domo kakudhalilisha hadharani kuwa unamroga hakutaki, halafu unahojiwa kwenye media kama upo tayari kuzaa na diamond unasema inategemea, hivi wewe zimo kweli kichwani? , Tatizo ni elimu , umaskini au una pepo la ngono
Weka video.Huyu dada sijui ndo pepo la umaskini au la Ngono linamsumbua, juzi tu domo kakudhalilisha hadharani kuwa unamroga hakutaki, halafu unahojiwa kwenye media kama upo tayari kuzaa na diamond unasema inategemea, hivi wewe zimo kweli kichwani? , Tatizo ni elimu , umaskini au una pepo la ngono
Afungue tu kila la heri mi nafurahi maana haiwezekani toka alipo mpk Leo anazidiwa mpk na kina aunty hata kama diamond ndo kamsponsa anastahiki haswa...eti huyu ana miaka mingapi[emoji23] [emoji23] [emoji4] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Ndiyo la watoto...dada wa taifa alisema la director joan...ila Wema kaenda na dada yake China kununua mzigo ndiyo wanarudi.
Za chini ya kapeti zinasema mond ndiyo kamsponsor
Mange muda mwingine ana umbea fake sana
Ni mtu mzima etii...43 anafika na kupita[emoji4] [emoji4] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji19] [emoji85] [emoji87] [emoji87] [emoji85] [emoji85] [emoji85]Me nilimuona pale mlimani city Danube....ofcourse ni mmama mtu mzima tuu!
But kwa hii picha hayuko hivo bana... Hao ni haters wameharibu
Asipopinda wowowoo...litaonekanaje sasa?[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ila ni mzuri huyu mwanamama nilipenda ngozi yake.
Hamissa huwa simuelewi sijui mlemavu sijawahi muona kasimama kwa kunyooka lazima apinde.
Ahahaha jamani, sasa si ndo najitahdi kurudi jamani, au sasa hvi sinogi🤣🤣🤣
Kavaa kigodoro au mbona sielewi[emoji3][emoji3][emoji3]Afungue tu kila la heri mi nafurahi maana haiwezekani toka alipo mpk Leo anazidiwa mpk na kina aunty hata kama diamond ndo kamsponsa anastahiki haswa...eti huyu ana miaka mingapi[emoji23] [emoji23] [emoji4] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] View attachment 875777
Nini zero? negative kabisa !![emoji134][emoji134][emoji134]Hamisa zero kabisa