emanuel kiduvilo
Senior Member
- Aug 5, 2014
- 165
- 20
Bod ya mikopo baada ya kuchelewesha fedha za field kwa wanafunz wa elimu ya juu hatimaye jana wamewekewa hao wanafunzi hii n baada ya timbwili la wanafunz wa udsm pale nkurumal hall sk ya jpil kweli hii serikal bila timbwil haiend