Hata hivyo wapo wengi waliofariki kati ya wale washiriki,Duh kweli dunia imefika mwisho, hadi Isidingo imeisha, very sad.
Imetukuza tangu tukiwa wadogo, enzi za kina Mbuso T, Derick Nyati, Mathabane family, Papa G, Nandipa, Leti etc
Gabriel alikuwa fundi kwanza alikuja Hotizon deep kama pastor hadi pisi kali zote akiwemo lareto wakawa wana attend mass kwasababu ya pastor.Kati ya maeneo yote ya hii tamthiliya hakuna sehemu iliyo nikera kama ya Nikiwe (Pisi Kali) na Mtoto wa Tajiri Lincoln kushawishiwa na kumegwa kisela na yule mpuuzi Pastor Gabriel!!
Pia George Zamdela naye alikuwa ni Mafia sana. Ilihitaji utulivu sana kuielewa Isidingo The Need! Kinyume na hapo, unaona kama watu wanapiga piga tu stori.
Tena hizi katuni za 3d ndo zinanoga balaa.Ukikiyana na kitu cha ninja tortoise acha tuUmenikumbusha utotoni nimerudi tena YOU TUBE kuiangalia. Ndiye yule mwanamke niliyemkusudia, tamthilia ya kijapani. Nimeikumbuka na Journey to the west.
Sijui ni Capital TV au ni nini ile? Kila jumapili ilikuwa inaonyesha movie za kihindi 2003 au na 2004. Kuna series ya kihindi inaitwa Ganga Maiya kila siku ya Jumapili.
Kuna Days of Our Lives
Kuna The Bold and the Beautiful.
Kuna tamthilia waliionyesha ITV inaitwa Acapulco bay!
Kipindi hicho naangalia katuni vibaya! Cha kusikitisha mpaka sasa sijaacha kuangalia katuni.
HahahaTena hizi katuni za 3d ndo zinanoga balaa.Ukikiyana na kitu cha ninja tortoise acha tu
George Zamndela, gangster na mwanaye Nina Zamndela...Namkumbuka Slu!
Daah ulikosa uhondo sanaa, one of the best soap opera Mkuu...Mimi sikuipenda
SABC walisema hailipi tena kuweza kuwa maintains all characters Kwa sababu ya ushindani...Tunaomba irudiwe [emoji23]
Hivi soaps kama zile hua zinaingiza hela ya maana kweli? Na zinaingizaje?SABC walisema hailipi tena kuweza kuwa maintains all characters Kwa sababu ya ushindani...
Na mjukuu wake Obakeng!George Zamndela, gangster na mwanaye Nina Zamndela...
AiseeLeo hatimaye Isindigo the need imeisha rasmi ITV japokuwa South iliisha muda baada ya kuonyeshwa kwa miaka 21 mfululizo.
Wengine tumekua nayo toka watoto mpaka now watu wazima tuna watoto pia.
Ni tamthlia ambayo kwangu ilikuwa bora kabisa kuliko tamthilia yoyote niliyowahi kutazama.
Nilitamani iendelee ila ilikuwa haiwalipi tena maana ilikuwa imepoteza watazamaji kwa kiasi kikubwa hivyo SABC hawakuwa na namna zaidi ya kuimaliza.
Kwa kweli kama mdau wa isidingo long time nimeumia sana wametuacha kwenye kitendawili kikubwa sana kwamba alikufa ama lah ,aliempiga yule ni mdada gani?Leo hatimaye Isindigo the need imeisha rasmi ITV japokuwa South iliisha muda baada ya kuonyeshwa kwa miaka 21 mfululizo.
Wengine tumekua nayo toka watoto mpaka now watu wazima tuna watoto pia.
Ni tamthlia ambayo kwangu ilikuwa bora kabisa kuliko tamthilia yoyote niliyowahi kutazama.
Nilitamani iendelee ila ilikuwa haiwalipi tena maana ilikuwa imepoteza watazamaji kwa kiasi kikubwa hivyo SABC hawakuwa na namna zaidi ya kuimaliza.
Kama vipi waanze upyaTunaomba irudiwe 😂
Mkuu Gabriel mothusi pastor ndo mmoja ya waigizaji mafundi zaidi na waliotumia akili kubwa kwenye misheni zao namkubali sana ila ilibidi mkataba wake uishe tu .nikiwe alizimika mwenyewe Gabriel akatumia fursa ..Kati ya maeneo yote ya hii tamthiliya hakuna sehemu iliyo nikera kama ya Nikiwe (Pisi Kali) na Mtoto wa Tajiri Lincoln kushawishiwa na kumegwa kisela na yule mpuuzi Pastor Gabriel!!
Pia George Zamdela naye alikuwa ni Mafia sana. Ilihitaji utulivu sana kuielewa Isidingo The Need! Kinyume na hapo, unaona kama watu wanapiga piga tu stori.
Nilikuwa napenda nisikilize akiongea,anajua ku twist lugha yule mzee,na vi methali vyake vya kisomi,yule alikuwa mzaramo wa kizungu aisee,ntawezaje kupata clips za isidingo episodes zilizopita?Sitamsahau mbabe na business rogue,Barker hayes na familia yake,Rajesh kumar,
Sent from my TECNO CD6 using JamiiForums mobile app