Hatimaye Isindigo imeisha rasmi ITV ilikuwa the best soap opera

Hatimaye Isindigo imeisha rasmi ITV ilikuwa the best soap opera

Duh kweli dunia imefika mwisho, hadi Isidingo imeisha, very sad.
Imetukuza tangu tukiwa wadogo, enzi za kina Mbuso T, Derick Nyati, Mathabane family, Papa G, Nandipa, Leti etc
George zamdela
 
Na hile Days of Our lives ilishaga lini.?
Hizi Tamthilia toka ways back ,kipindi cha black and white Tv ,kipindi ambacho ukiwa na Tv mpaka watu wazima wanajaa chumbani kwako mpaka kero wengine madirishani.


Kenya wao walitamba na Tamthilia yao inaitwa Tausi.Kipindi ambacho marehemu Jengua anatamba na tamthilia ya kidedea Muogo mchumba ndio kipindi hicho alishaini kama Kanumba😂😂😂😂
 
Leo hatimaye Isindigo the need imeisha rasmi ITV japokuwa South iliisha muda baada ya kuonyeshwa kwa miaka 21 mfululizo.

Wengine tumekua nayo toka watoto mpaka now watu wazima tuna watoto pia.

Ni tamthlia ambayo kwangu ilikuwa bora kabisa kuliko tamthilia yoyote niliyowahi kutazama.

Nilitamani iendelee ila ilikuwa haiwalipi tena maana ilikuwa imepoteza watazamaji kwa kiasi kikubwa hivyo SABC hawakuwa na namna zaidi ya kuimaliza.
Duh kwa kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Gabriel alikuwa fundi kwanza alikuja Hotizon deep kama pastor hadi pisi kali zote akiwemo lareto wakawa wana attend mass kwasababu ya pastor.
Yule jamaa Pastor Gabriel ni master piece sana yaani nilikua namkubali sana scene zake.... kuna hii moja Calvin Xavery alitekwa huko anaripoti war field ikabidi baba yake apange kumfata ila akawa shot airport. Sasa sometime uyu Pastor Gabriel akaendesha maombezi for them. Watu waliattend yaan adi barker na Bra Lincs walikuepo... he be like "God Bless Frank Xavier and a safe return of Calvin Xavier" akawaomba watu wote wa repeat after him "GOD BLESS CALVIN XAVIER" watu God Bless Calvin Xavier "GOD BLESS FRANK XAVIER" wakamrepeat pia yaani was so emotional... Nalikubali san lile baharia lina bonge ya smile and a good taste in women and suits... ile pisi kali ya kuitwa Zukisa nikiipata itanitambua hahah bila kumsahau Lungi Biyera na yule Paressa
 
Yule jamaa Pastor Gabriel ni master piece sana yaani nilikua namkubali sana scene zake.... kuna hii moja Calvin Xavery alitekwa huko anaripoti war field ikabidi baba yake apange kumfata ila akawa shot airport. Sasa sometime uyu Pastor Gabriel akaendesha maombezi for them. Watu waliattend yaan adi barker na Bra Lincs walikuepo... he be like "God Bless Frank Xavier and a safe return of Calvin Xavier" akawaomba watu wote wa repeat after him "GOD BLESS CALVIN XAVIER" watu God Bless Calvin Xavier "GOD BLESS FRANK XAVIER" wakamrepeat pia yaani was so emotional... Nalikubali san lile baharia lina bonge ya smile and a good taste in women and suits... ile pisi kali ya kuitwa Zukisa nikiipata itanitambua hahah bila kumsahau Lungi Biyera na yule Paressa
Lungi mkali sana. Gabriel alikuwa master na akilenga pisi haikosi hadi zuki alianza muona mumewe takataka
 
Da kama mm mkuu nimeshakua mtu mzima Sana ila nasikitika kuwa bado napenda kuangalia katuni.
Hahaha

Wacky Races
Double Dragon
Hong Kong Phooey
Ed, Eddy n' Eddy
Dexter
Scooby Doo
Samurai Jack
Mega XL
Etc..

Mimi bado naangalia tu.
 
Utaiitaje tamthilia bora wakati ilipoteza watazamaji mpaka wakaamua kuikatisha iishe..
 
Back
Top Bottom