Hatimaye jana nimelipwa mshahara wa Machi na Aprili baada ya kufanyiwa ukatili na PEPMIS

Hatimaye jana nimelipwa mshahara wa Machi na Aprili baada ya kufanyiwa ukatili na PEPMIS

Daaaaahh, so sad

Mtu unamnyima mshahara kwa miezi 2 ili afe njaa?

Ili afedheheke katika jamii?

Nakiri kuwa kwa upande wangu nilitimiza majukumu yangu ya kila siku na kutokumalizia kipengele kimoja cha mfumo wa PEPMIS ni uzembe wa mwajiri wangu.

Nimepokea pesa nimetumia laki tu zingine nimeweka reserve kama kawaida yangu.

Ingawa nimelipwa lakini siwezi kumshukuru mtu kwa kunilipa, ningekuwa na fedha nyingi ningeacha kazi na kuhama nchi.

Wanasiasa wakigonga madawati tu pale Dodoma wanalipwa millions of money bila kipingamizi.

Sijatetereka kiuchumi ila ratiba zangu zimeparaganika, nimetumia sehemu ya reserve yangu.

Serikali ikiwadharau watumishi wa umma wasidhani wananchi watapata maendeleo.

Mwafrika ni kama maji ukiyazuia huku yatapita kule, ndio maana bongo mtu anapokea mshahara wa laki 5 lakini anadrive Subaru haikati mafuta na service inafanywa kama kawaida, lakini mifumo ya njia za panya imeasisiwa na viongozi wetu.
Tukutane kwenye kikokotoo
 
Daaaaahh, so sad

Mtu unamnyima mshahara kwa miezi 2 ili afe njaa?

Ili afedheheke katika jamii?

Nakiri kuwa kwa upande wangu nilitimiza majukumu yangu ya kila siku na kutokumalizia kipengele kimoja cha mfumo wa PEPMIS ni uzembe wa mwajiri wangu.

Nimepokea pesa nimetumia laki tu zingine nimeweka reserve kama kawaida yangu.

Ingawa nimelipwa lakini siwezi kumshukuru mtu kwa kunilipa, ningekuwa na fedha nyingi ningeacha kazi na kuhama nchi.

Wanasiasa wakigonga madawati tu pale Dodoma wanalipwa millions of money bila kipingamizi.

Sijatetereka kiuchumi ila ratiba zangu zimeparaganika, nimetumia sehemu ya reserve yangu.

Serikali ikiwadharau watumishi wa umma wasidhani wananchi watapata maendeleo.

Mwafrika ni kama maji ukiyazuia huku yatapita kule, ndio maana bongo mtu anapokea mshahara wa laki 5 lakini anadrive Subaru haikati mafuta na service inafanywa kama kawaida, lakini mifumo ya njia za panya imeasisiwa na viongozi wetu.
You should pay for this ad
 
Daaaaahh, so sad

Mtu unamnyima mshahara kwa miezi 2 ili afe njaa?

Ili afedheheke katika jamii?

Nakiri kuwa kwa upande wangu nilitimiza majukumu yangu ya kila siku na kutokumalizia kipengele kimoja cha mfumo wa PEPMIS ni uzembe wa mwajiri wangu.

Nimepokea pesa nimetumia laki tu zingine nimeweka reserve kama kawaida yangu.

Ingawa nimelipwa lakini siwezi kumshukuru mtu kwa kunilipa, ningekuwa na fedha nyingi ningeacha kazi na kuhama nchi.

Wanasiasa wakigonga madawati tu pale Dodoma wanalipwa millions of money bila kipingamizi.

Sijatetereka kiuchumi ila ratiba zangu zimeparaganika, nimetumia sehemu ya reserve yangu.

Serikali ikiwadharau watumishi wa umma wasidhani wananchi watapata maendeleo.

Mwafrika ni kama maji ukiyazuia huku yatapita kule, ndio maana bongo mtu anapokea mshahara wa laki 5 lakini anadrive Subaru haikati mafuta na service inafanywa kama kawaida, lakini mifumo ya njia za panya imeasisiwa na viongozi wetu.
Mkuu,
Wewe bado hauja ""mature enough "" ukiwa mtumishi wa Uma usipende ku expose Mambo yako na kulalama lalama kila muda kwenye social media..

For your information atapita humu kiongozi wako MTU mwenye kaliba ya ki Paul makonda utashuhurikiwa then uje uanze kulia Lia hapa usije SEMA tunakutisha au hatujakwambia punguza utoto..

✌️✌️✌️✌️
 
Daaaaahh, so sad

Mtu unamnyima mshahara kwa miezi 2 ili afe njaa?

Ili afedheheke katika jamii?

Nakiri kuwa kwa upande wangu nilitimiza majukumu yangu ya kila siku na kutokumalizia kipengele kimoja cha mfumo wa PEPMIS ni uzembe wa mwajiri wangu.

Nimepokea pesa nimetumia laki tu zingine nimeweka reserve kama kawaida yangu.

Ingawa nimelipwa lakini siwezi kumshukuru mtu kwa kunilipa, ningekuwa na fedha nyingi ningeacha kazi na kuhama nchi.

Wanasiasa wakigonga madawati tu pale Dodoma wanalipwa millions of money bila kipingamizi.

Sijatetereka kiuchumi ila ratiba zangu zimeparaganika, nimetumia sehemu ya reserve yangu.

Serikali ikiwadharau watumishi wa umma wasidhani wananchi watapata maendeleo.

Mwafrika ni kama maji ukiyazuia huku yatapita kule, ndio maana bongo mtu anapokea mshahara wa laki 5 lakini anadrive Subaru haikati mafuta na service inafanywa kama kawaida, lakini mifumo ya njia za panya imeasisiwa na viongozi wetu.
Watuwanadai mafaoo ya miaka 15 tena kampuni za serikali achatu
 
Mkuu,
Wewe bado hauja ""mature enough "" ukiwa mtumishi wa Uma usipende ku expose Mambo yako na kulalama lalama kila muda kwenye social media..

For your information atapita humu kiongozi wako MTU mwenye kaliba ya ki Paul makonda utashuhurikiwa then uje uanze kulia Lia hapa usije SEMA tunakutisha au hatujakwambia punguza utoto..

✌️✌️✌️✌️
Kwahiyo kwa maelezo hayo aliyotoa, kati ya watumishi wa uma laki 7 ushamjua huyo ni yupi?

#YNWA
 
"Baadhi ya Mawaziri Serikali ya Awamu ya Sita wamekuwa na Utajiri wa ghafla usio kifani..."

-source:-



watumishi wa umma wameachwa yatima huju viongozi wakila na kumwaga.
Kwa mfano walimu
1. Afisa elimu wilaya 900,000 excl salary
2. Afisa elimu kata 250,000 excl salary
3. Mkuu wa shule 250,000 excl salary
4. Mwalimu mkuu 200,000 excl salary
5. Mwalimu darasani hana posho

Kumbuka hawa viongozi wanazurula tu kwa mwezi mara moja au mbili. Kazi na majukumu yote ni Mwalimu. Kazi kubwa ya hawa viongozi ni kuripoti kutoa taarifa juu.

Huo mfano wa uonevu
 
Back
Top Bottom