muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 15,301
- 13,858
Mbadara wa OPRAS kwa watumishi!...ni.mfumo wa kupima utendaji kazi kwa watumishi.
What is PEPMIS?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
What is PEPMIS?
Tukutane kwenye kikokotooDaaaaahh, so sad
Mtu unamnyima mshahara kwa miezi 2 ili afe njaa?
Ili afedheheke katika jamii?
Nakiri kuwa kwa upande wangu nilitimiza majukumu yangu ya kila siku na kutokumalizia kipengele kimoja cha mfumo wa PEPMIS ni uzembe wa mwajiri wangu.
Nimepokea pesa nimetumia laki tu zingine nimeweka reserve kama kawaida yangu.
Ingawa nimelipwa lakini siwezi kumshukuru mtu kwa kunilipa, ningekuwa na fedha nyingi ningeacha kazi na kuhama nchi.
Wanasiasa wakigonga madawati tu pale Dodoma wanalipwa millions of money bila kipingamizi.
Sijatetereka kiuchumi ila ratiba zangu zimeparaganika, nimetumia sehemu ya reserve yangu.
Serikali ikiwadharau watumishi wa umma wasidhani wananchi watapata maendeleo.
Mwafrika ni kama maji ukiyazuia huku yatapita kule, ndio maana bongo mtu anapokea mshahara wa laki 5 lakini anadrive Subaru haikati mafuta na service inafanywa kama kawaida, lakini mifumo ya njia za panya imeasisiwa na viongozi wetu.
Ukiangalia wabunge wanavyoongea wakiwa mle ndani Kuna picha unaipata ambayo ukiwa na wageni wa nje ya nchi hungependa waione.Pole mkuu
This country wasio na akili ndio wanapewa nchi waiongoze walambe asali wapate vitambi wao na familia zao.
Ova
You should pay for this adDaaaaahh, so sad
Mtu unamnyima mshahara kwa miezi 2 ili afe njaa?
Ili afedheheke katika jamii?
Nakiri kuwa kwa upande wangu nilitimiza majukumu yangu ya kila siku na kutokumalizia kipengele kimoja cha mfumo wa PEPMIS ni uzembe wa mwajiri wangu.
Nimepokea pesa nimetumia laki tu zingine nimeweka reserve kama kawaida yangu.
Ingawa nimelipwa lakini siwezi kumshukuru mtu kwa kunilipa, ningekuwa na fedha nyingi ningeacha kazi na kuhama nchi.
Wanasiasa wakigonga madawati tu pale Dodoma wanalipwa millions of money bila kipingamizi.
Sijatetereka kiuchumi ila ratiba zangu zimeparaganika, nimetumia sehemu ya reserve yangu.
Serikali ikiwadharau watumishi wa umma wasidhani wananchi watapata maendeleo.
Mwafrika ni kama maji ukiyazuia huku yatapita kule, ndio maana bongo mtu anapokea mshahara wa laki 5 lakini anadrive Subaru haikati mafuta na service inafanywa kama kawaida, lakini mifumo ya njia za panya imeasisiwa na viongozi wetu.
Mimi bado miaka 25.Tukutane kwenye kikokotoo
Mambo ya serekare bana
Mkuu,Daaaaahh, so sad
Mtu unamnyima mshahara kwa miezi 2 ili afe njaa?
Ili afedheheke katika jamii?
Nakiri kuwa kwa upande wangu nilitimiza majukumu yangu ya kila siku na kutokumalizia kipengele kimoja cha mfumo wa PEPMIS ni uzembe wa mwajiri wangu.
Nimepokea pesa nimetumia laki tu zingine nimeweka reserve kama kawaida yangu.
Ingawa nimelipwa lakini siwezi kumshukuru mtu kwa kunilipa, ningekuwa na fedha nyingi ningeacha kazi na kuhama nchi.
Wanasiasa wakigonga madawati tu pale Dodoma wanalipwa millions of money bila kipingamizi.
Sijatetereka kiuchumi ila ratiba zangu zimeparaganika, nimetumia sehemu ya reserve yangu.
Serikali ikiwadharau watumishi wa umma wasidhani wananchi watapata maendeleo.
Mwafrika ni kama maji ukiyazuia huku yatapita kule, ndio maana bongo mtu anapokea mshahara wa laki 5 lakini anadrive Subaru haikati mafuta na service inafanywa kama kawaida, lakini mifumo ya njia za panya imeasisiwa na viongozi wetu.
Mwezi wa 3 bado hamjapewa?Sisi huu ni mwezi wa tatu, mtu anakuuliza unaishije sasa?
Watuwanadai mafaoo ya miaka 15 tena kampuni za serikali achatuDaaaaahh, so sad
Mtu unamnyima mshahara kwa miezi 2 ili afe njaa?
Ili afedheheke katika jamii?
Nakiri kuwa kwa upande wangu nilitimiza majukumu yangu ya kila siku na kutokumalizia kipengele kimoja cha mfumo wa PEPMIS ni uzembe wa mwajiri wangu.
Nimepokea pesa nimetumia laki tu zingine nimeweka reserve kama kawaida yangu.
Ingawa nimelipwa lakini siwezi kumshukuru mtu kwa kunilipa, ningekuwa na fedha nyingi ningeacha kazi na kuhama nchi.
Wanasiasa wakigonga madawati tu pale Dodoma wanalipwa millions of money bila kipingamizi.
Sijatetereka kiuchumi ila ratiba zangu zimeparaganika, nimetumia sehemu ya reserve yangu.
Serikali ikiwadharau watumishi wa umma wasidhani wananchi watapata maendeleo.
Mwafrika ni kama maji ukiyazuia huku yatapita kule, ndio maana bongo mtu anapokea mshahara wa laki 5 lakini anadrive Subaru haikati mafuta na service inafanywa kama kawaida, lakini mifumo ya njia za panya imeasisiwa na viongozi wetu.
Mwezi Machi, Aprili na MeiMwezi wa 3 bado hamjapewa?
Una uhakika?Hii nchi hao wakuu wa taasisi na vitengo wako busy kupiga madili tu
Mwafrika ni kama maji ukiyazuia huku yatapita kule, ndio maana bongo mtu anapokea mshahara wa laki 5 lakini anadrive Subaru haikati mafuta na service inafanywa kama kawaida,
Aisee, umeamua kufunguka. Allowance zinatubeba, hata ikibidi ziwe za mchongo 😀lakini mifumo ya njia za panya imeasisiwa na viongozi wetu.
Kwahiyo kwa maelezo hayo aliyotoa, kati ya watumishi wa uma laki 7 ushamjua huyo ni yupi?Mkuu,
Wewe bado hauja ""mature enough "" ukiwa mtumishi wa Uma usipende ku expose Mambo yako na kulalama lalama kila muda kwenye social media..
For your information atapita humu kiongozi wako MTU mwenye kaliba ya ki Paul makonda utashuhurikiwa then uje uanze kulia Lia hapa usije SEMA tunakutisha au hatujakwambia punguza utoto..
✌️✌️✌️✌️
Jamaa snitch sana.Kwahiyo kwa maelezo hayo aliyotoa, kati ya watumishi wa uma laki 7 ushamjua huyo ni yupi?
#YNWA
Sijasema ivyo na sitaki kunukuliwa ivyo Ila Kuna BINADAMU wengine humu kiongozi wanaweza kutamani kumshuhurikia kwa manufaa ya umma.Kwahiyo kwa maelezo hayo aliyotoa, kati ya watumishi wa uma laki 7 ushamjua huyo ni yupi?
#YNWA