Dada yangu nifah rudi madale ukapike maubuyu huku achana nakoWakenya nawaaminia,hamna mchezo ktk masuala ya maslahi ya Taifa ndio maana mmeendelea.
Vijana bado wapo mkuu,wanachapa kazi na maisha yanaendelea kana kwamba hakuna kilichotokea.
Tanzania hii isikieni tu,ni nchi ya hovyo sana.
wacha izo mkuu, wanakatana mapanga hawa sio kuombeaNatamani vita itokee Kenya, ili wamwage damu angalau mwaka huuu
safari hii nimepitwa sana na siasa za kenya.naomba utupe darsa dogo kuhusu uchaguzi huu unaondelea sasa.
Kila mtu ana mtazamo wake, mimi mtazamo wangu naiombea Kenya waingie kwenye machafuko, izo ni sara zangu kwa WakenyaAcha kuongea ujinga kaka.sio vitu vya kuombea hivi.tofauti zetu za kwenye mitandao na wakenya,zisifanye tuwaombee mabaya.
Dadeki...miguna kweli mbishi,kumbe mpaka Leo bado anafukuruta kwenye siasa za kenya.Raundi hii hata sisi tunaojifanya magwiji wa siasa za kwetu imebidi kukaa maana Wakenya hawatabiriki tena, hizi line up za sasa hata makampuni ya kutabiri yameishia kubwagwa na kushangazwa. Watu wa karibu wa rais Uhuru na wale wa Raila wengi wamepigwa chini akiwemo hata ndugu wa damu wa Raila kule Bondo.
Hawa Wakenya wa leo hawatabiriki kabisa, line up iko tayari, kijijni kwetu mbunge na swahiba wangu amepigwa chini yaani nina jazba na wazee wa kwetu.
Nairobi tunaye Sonko atachuana na Kidero na pia kuna wale wa kujitegemea kama Miguna Miguna.
Mbona swali jepesi unajibu kwa jazba mkuu?
Nimewaambia mara nyngi unapouliza swali inabidi kutulia ujibiwe na sio kuelekeza unavyotaka ujibiwe, kwa wewe kuuliza ina maana hujui jibu hivyo subiri ujibiwe. Katika kukujibu inabidi kuongeza maneno ya kukupa picha nzima ili kukuondolea yale ulikaririshwa, sasa kwa mfano tu, hapo umeuliza yupi wa NASA tayari inaonyesha inabidi kukupa darasa nzima mpangilio wa kisiasa wa Nairobi.
NASA wao wana line up yao, humu nieleta wagombeaji wa Jubilee.
Dadeki...miguna kweli mbishi,kumbe mpaka Leo bado anafukuruta kwenye siasa za kenya.
kwa hiyo hawa akina sonko walioshinda chaguzi za ndani ndio wataenda kupambana ktk uchaguzi mkuu August?.
Sawa mkuu,Hehehe!! Mkuu Azarel, huyo jamaa humjui, ndio zake na huibuka na mada za kujifanya kuijua Kenya kumbe ndio mweupe, sasa leo hii anauliza swali kama hilo. Hebu ichukulie jinsi mimi huja na mada za Bongo, halafu kesho niulize kama Dar ipo ndani ya mkoa wa Morogoro....nina uhakika hamtonijibu kwa kucheka.
..... Hilo swali angeuliza mtu mwengine asiyejifanya kuijua Kenya na kubishana na Wakenya kuhusu Kenya yao angejibiwa vizuri tu.
basi sawa.Kila mtu ana mtazamo wake, mimi mtazamo wangu naiombea Kenya waingie kwenye machafuko, izo ni sara zangu kwa Wakenya
sonko sina shaka naye,lazima atatoboa.yule jamaa ni mtoto wa mjini (born town).Miguna mwenyewe anajua dynamics na hatopata, ila hupenda kutajwa tajwa kwenye magazeti.
Ushindani wa Nairobi sasa hivi ni baina ya Sonko na Kidero, wataburuzana nyumba kwa nyumba, mlango kwa mlango aki ya nani patachimbika maana wote wajeuri kupita maelezo.
Japo nina uhakika Sonko atashinda maana maboys wote mitaani wanampenda balaa maana jamaa hujua jnsi ya kujimix, amewasaidia sana vijana na akina mama. Kidero atapata kura za elites ambao hawapendi sana kupiga foleni za kura na hushawishika na vijimaneno vya nadharia.
Sio mbongo ,ila ni mzee wa kukamata fursa kwa sana na madili kibao.Yule jamaa atakuwa mbongo yule,dah!
Sonko-akambaHivi Sonko, Shebesh na Miguna ni Kabila gani?
Sio mbongo ,ila ni mzee wa kukamata fursa kwa sana na madili kibao.
Anaamsha sana kwenye kampeni
Nina uhakika anaenda kushinda u-governor wa Nai
hata wewe mwenyewe sir name yako ni very common huku tz Miongoni mwa koo za mkoa wa Kilimanjaro.[emoji23] [emoji23]Naona mnatumia jina moja naye, ila jamaa ni fighter balaa, king'ang'anizi mwanzo mwisho na tunamtarajia kama rais wetu wa Nairobi.
hata wewe mwenyewe sir name yako ni very common huku tz Miongoni mwa koo za mkoa wa Kilimanjaro.[emoji23] [emoji23]
Tuhuma zipi, mbona alianika vyeti vyake vyote tena kwenye mitandao. Cheti cha shule ya msingi, shule ya upili na hata chuo.
Huyu sio kama huyo Bashite wenu ambaye hadi leo ameuchuna, kazi kulia lia makanisani.
SONKO NI MTU WA WATU KULIKO KENETH - ILIKUA NI LAZIMA SHINDESasa mchuano wa uongozi wa Nairobi umeeleweka, upande wa NASA tunaye gavana wa sasa bwana Evans Kidero, nao Jubilee bwana Mike Mbuvi almaarufu kama Sonko ameibuka mshindi. Kuanzia sasa ni kampeini za mbele kwa mbele, ila Sonko kuna uwezekano mkubwa akaibuka na kuwa gavana wetu Nairobi.
From left: Senator Mike Sonko, Woman Rep Rachel Shebesh and Nominated MP Johnson Sakaja, who are leading in Nairobi Jubilee primaries. PHOTOS | NATION MEDIA GROUP
Nairobi Senator Mike Sonko has won the Nairobi Jubilee gubernatorial nominations.
Senator Sonko got 138, 185 votes against Peter Kenneth's 62, 504 and Bishop Margaret Wanjiru's 7, 654 votes; in 17 constituencies.
In the senatorial race, Mr Johnson Sakaja is leading with 106, 469 in 14 constituencies, Richard Kavemba is second with 10, 729 and Mr Badi Ali third with 9, 079.
In the Nairobi Women Representative nominations, Mrs Rachel Shebesh is also leading with 61,445 followed by Mrs Millicent Omanga with 39,634 while Ms Karen Nyamu has 28,502 votes.
Earlier, Mrs Shebesh stormed Nyayo Indoor Gymnasium at Nyayo Stadium, where the tallying is taking place.
She claimed that her votes in Embakasi North were being stolen and added onto Mrs Omanga's.
"I will stay here and stop this process until you tell me what's going on and why my votes are being stolen," said an agitated Mrs Shebesh who was then escorted to record a statement at Nyayo Stadium Police post.
She later left with her supporters to Jubilee headquarters to lodge a complaint.
Sonko, Sakaja and Shebesh win JP primaries
Namkubali sana jamaaNaona mnatumia jina moja naye, ila jamaa ni fighter balaa, king'ang'anizi mwanzo mwisho na tunamtarajia kama rais wetu wa Nairobi.
Asante kakaSonko-akamba
Shebesh-okuyu
Miguna-Luo or Luopean as we fondly call them