Hatimaye Kenya kuanza kuwa na kampuni binafsi za umeme, mwsho wa ukiritimba wa KPLC

Hatimaye Kenya kuanza kuwa na kampuni binafsi za umeme, mwsho wa ukiritimba wa KPLC

We jamaa bana. Taarifa yenyewe uloiweka hapo juu, ya pesacheck, inasema usambazaji wa umeme Tz ni 32.8%! 😀😀😀 Hujui kusoma kiingereza nini? Dah, I give up! Shukran kwa taarifa yenyewe lakini.
Wewe ninafahamu una matatizo ya akili, ila tutaendelea kukuvumilia na kukuelewesha. Hapo huyu mwandishi amekuwekea sehemu ya mahojiano na meneja wa mradi, ambapo yeye kama msimamizi mkuu wa mradi anasema 75% ya nchi imeunganishwa na umeme, kesha hapo chini huyu mwandishi amefanya analysis yake yey binafsi, sasa wewe umeamua kumsikiliza yeye mwandishi badala ya kusikiliza mtu mwenye authority ya kuzungumzia serikali.
 
Ruksa kutupia matusi, mimi nakupa takwimu. Eti risechi unaiita analysis na maoni binafsi. Ushahidi upo kwa wingi bana. Tz mnapanga kufikia 50% kwenye usambazaji wa umeme ikifika 2025! Soma taarifa yenyewe hapa. Rural Electrification - TanzaniaInvest Taarifa hii, inasema pia, kwamba vijijini, ambapo 70% ya watanzania wanaishi 7% tu ndo wamefikiwa na umeme. Sina hamu ya kubishana nawe kwenye maswala ambayo yapo wazi.
 
How Many Rural Tanzanians Have Power? – PesaCheck
Hii ndiyo taarifa official inayo quote maneno ya manager wa mradi wa Rural Energy Argency, jana Magufuli katika Hotuba yake ya kuweka jiwe la msingi phase 2. amesisitiza kwamba by 2021, vijiji vyote Tanzania vitakuwa na umeme, amerudia na kusisitiza hilo, unaweza kumsikiliza You tube, sasa kama mkuu wa nchi na watendaji wote wanasema hilo, sijui ni vipi mtu mwengine analipinga, kwa kutumia data zipi, zinazotoka source ipi?.

Hehehe!! Jamaa unatia huruma, tatizo kubwa Tanzania elimu hamuna, halafu utakuta labda wewe ndiye tegemezi wa CCM kwenye uteteaji wa ndani ya mitandao ilhali unayo uelewa mdogo hata kwa masuala ambayo hayahitaji elimu. Nilishakata tamaa kwa baadhi yenu haswa MACCM mnaokeshea humu mking'ang'ania bila kwanza kufanya utafiti au kusoma.

Sasa upo hapa umeng'ang'ania kumshikilia bango huyo meneja wakati hata mwenyewe anajikanganya, kama anasema asilimia 75% ya Watanzania imeunga kwenye umeme, halafu hapo hapo anasema Watanzania wa vijijini 49.3% ndio wameunga (japo huu ni uwongo lakini tuamue kuamini kwa sasa) na tujuavyo Watanzania wengi wapo vijijini ambapo ni asilimia 68% ya idadi ya Watanzania, sasa hapo ninaweza kumwomba mtoto wa darasa la nne kwenye shule za Kenya au wa kidato cha nne kwenye shule za Tanzania akudadavulie kwamba
Idadi ya Watanzania ni 56,000,000
Hivyo walio vijijini ni 38,080,000 (68%)
Vijijijini waliounga ni 18,659,200 (49.3%)
Hiyo ina maana walio gizani vijijini ni 19,420,800
Sasa hao walio gizani vijijini ukilinganisha na idadi ya taifa wanafikia 34.68%
Hivyo ina maana walio kwenye mwanga ni 65%
Sasa hapo hatujaondoa walio mjini ambao hawajaunga, hivyo hiyo 65% itabidi upunguze kwa kuondoa walio mjini na hawajaunga.

Hizi asilimia nimetumia maneno ya huyo unayempigia debe humu kama msema kweli, kwa kifupi sio thibitisho tosha.
 
Hehehe!! Jamaa unatia huruma, tatizo kubwa Tanzania elimu hamuna, halafu utakuta labda wewe ndiye tegemezi wa CCM kwenye uteteaji wa ndani ya mitandao ilhali unayo uelewa mdogo hata kwa masuala ambayo hayahitaji elimu. Nilishakata tamaa kwa baadhi yenu haswa MACCM mnaokeshea humu mking'ang'ania bila kwanza kufanya utafiti au kusoma.

Sasa upo hapa umeng'ang'ania kumshikilia bango huyo meneja wakati hata mwenyewe anajikanganya, kama anasema asilimia
Muache huyu jamaa, yeye anatupia taarifa hapa wakati hajaisoma hadi mwisho. Sijui ni kiingereza ndo kinamkanganya? Taarifa yenyewe inatumiatakwimu za serikali yenyewe. Ambazo walitumia kwenye azimio lao la kufika 50% kabla ya 2025, kuonesha kwamba usambazaji wa umeme Tz kwa sasa ni 32.8%. 16% tu vijijini, wanakoishi 70% ya watz wote na 65% mijini.
 
Hehehe!! Jamaa unatia huruma, tatizo kubwa Tanzania elimu hamuna, halafu utakuta labda wewe ndiye tegemezi wa CCM kwenye uteteaji wa ndani ya mitandao ilhali unayo uelewa mdogo hata kwa masuala ambayo hayahitaji elimu. Nilishakata tamaa kwa baadhi yenu haswa MACCM mnaokeshea humu mking'ang'ania bila kwanza kufanya utafiti au kusoma.

Sasa upo hapa umeng'ang'ania kumshikilia bango huyo meneja wakati hata mwenyewe anajikanganya, kama anasema asilimia 75% ya Watanzania imeunga kwenye umeme, halafu hapo hapo anasema Watanzania wa vijijini 49.3% ndio wameunga (japo huu ni uwongo lakini tuamue kuamini kwa sasa) na tujuavyo Watanzania wengi wapo vijijini ambapo ni asilimia 68% ya idadi ya Watanzania, sasa hapo ninaweza kumwomba mtoto wa darasa la nne kwenye shule za Kenya au wa kidato cha nne kwenye shule za Tanzania akudadavulie kwamba
Idadi ya Watanzania ni 56,000,000
Hivyo walio vijijini ni 38,080,000 (68%)
Vijijijini waliounga ni 18,659,200 (49.3%)
Hiyo ina maana walio gizani vijijini ni 19,420,800
Sasa hao walio gizani vijijini ukilinganisha na idadi ya taifa wanafikia 34.68%
Hivyo ina maana walio kwenye mwanga ni 65%
Sasa hapo hatujaondoa walio mjini ambao hawajaunga, hivyo hiyo 65% itabidi upunguze kwa kuondoa walio mjini na hawajaunga.

Hizi asilimia nimetumia maneno ya huyo unayempigia debe humu kama msema kweli, kwa kifupi sio thibitisho tosha.
Kuna mwenzangu mmoja humu alikuolezea wewe kuwa ni miongoni mwa watu wasio na akili kabisa, hata akadirika kuweka baadhi ya threads ulizozifungua hapa jamvini na zikakosa wachangiaji. Mimi ninajua kinachokuumiza ni wivu dhidi ya Tanzania, kwamba uchumi unapanda kwa 7%, kwenu ni 4.8%, Tanzania inajenga reli ya umeme kwa pesa yake, ninyi pamoja na kujisifia GDP kubwa na bajeti kubwa lakini hamuwezi kununua hata kichwa kimoja kwa pesa yenu mnakopa hadi wakopeshaji wanaanza kuwakimbia, njaa haiwakalii mbali, maji hapo Nairobi ni shida wakati sisi tunatafuta wapipa kuyapeleka maji ya ziada.

Hiyo taarifa uliyoiona hapo 49.3% vijijini wamepata umeme, ulipofanya hesabu zako umeenda vizuri ulipopata 64% ya watu vijijini wameunganishwa na umeme, mijini ni 95 wameunganishwa, kabla ya kujibu, ungetafuta taarifa za mjini watu walioungashwa na ukatafuta wastani, wala usingejidhalilisha.

Wewe kawaida ni mtu mwenye maumivu sana ukiona Tanzania inaendelea, wewe ni mkikuyu pure, wewe ukabila unakusumbua sana, unasumbuliwa na stress za maisha, kila mtu akiitetea nchi yake unadhani ni ama ametumwa au amepewa pesa, hizo ni tabia zenu huko kwenu kwa sababu ukabila na rushwa vimo katika DNA zenu, sisi hatuyajua hayo.
 
Muache huyu jamaa, yeye anatupia taarifa hapa wakati hajaisoma hadi mwisho. Sijui ni kiingereza ndo kinamkanganya? Taarifa yenyewe inatumiatakwimu za serikali yenyewe. Ambazo walitumia kwenye azimio lao la kufika 50% kabla ya 2025, kuonesha kwamba usambazaji wa umeme Tz kwa sasa ni 32.8%. 16% tu vijijini, wanakoishi 70% ya watz wote na 65% mijini.
Wewe ni kichaa sana, sasa huyo meneja alipokua anahojiwa na kujibu kwamba asilimia 75% ya watu wameunganishwa alitumia takwimu zipi?, au Magufuli jana aliposema ikifika 2021 vijiji vyote Tanzania vitakuwa na umeme alitumia takwimu zipi?, acheni wivu Tanzania umewapita kwa mbali sana, huwa hatujitangazi tunapofanya haya yote, sio kama ninyi, hata Uhuru akijamba mnatangaza katika magazeti.
 
Kuna mwenzangu mmoja humu alikuolezea wewe kuwa ni miongoni mwa watu wasio na akili kabisa, hata akadirika kuweka baadhi ya threads ulizozifungua hapa jamvini na zikakosa wachangiaji. Mimi ninajua kinachokuumiza ni wivu dhidi ya Tanzania, kwamba uchumi unapanda kwa 7%, kwenu ni 4.8%, Tanzania inajenga reli ya umeme kwa pesa yake, ninyi pamoja na kujisifia GDP kubwa na bajeti kubwa lakini hamuwezi kununua hata kichwa kimoja kwa pesa yenu mnakopa hadi wakopeshaji wanaanza kuwakimbia, njaa haiwakalii mbali, maji hapo Nairobi ni shida wakati sisi tunatafuta wapipa kuyapeleka maji ya ziada.

Hiyo taarifa uliyoiona hapo 49.3% vijijini wamepata umeme, ulipofanya hesabu zako umeenda vizuri ulipopata 64% ya watu vijijini wameunganishwa na umeme, mijini ni 95 wameunganishwa, kabla ya kujibu, ungetafuta taarifa za mjini watu walioungashwa na ukatafuta wastani, wala usingejidhalilisha.

Wewe kawaida ni mtu mwenye maumivu sana ukiona Tanzania inaendelea, wewe ni mkikuyu pure, wewe ukabila unakusumbua sana, unasumbuliwa na stress za maisha, kila mtu akiitetea nchi yake unadhani ni ama ametumwa au amepewa pesa, hizo ni tabia zenu huko kwenu kwa sababu ukabila na rushwa vimo katika DNA zenu, sisi hatuyajua hayo.

Rudi kwenye hicho kibolg ulicholeta halafu usome huu mstari mara kumi 'Furthermore, he adds, 49.3 percent of rural households are connected to the national grid.'
Kama huelewi maana ya huo mstari, tafuta mtu akutafsirie, halafu rejelea zile hesabu za darasa la nne Kenya japo hufanywa na kidato cha nne kwenu......
Kama kufikia hapo hutopata aibu ya unavyoanika umbumbu wako, basi kwaheri, sidhani kama nina uwezo wa kukusaidia, maana wewe ung'ang'anizi wako ni balaa hata kama unalipwa, nilishangaa hadi jamaa Watanzania wanakuweka kwenye ignore list ya JF.
 
Ruksa kutupia matusi, mimi nakupa takwimu. Eti risechi unaiita analysis na maoni binafsi. Ushahidi upo kwa wingi bana. Tz mnapanga kufikia 50% kwenye usambazaji wa umeme ikifika 2025! Soma taarifa yenyewe hapa. Rural Electrification - TanzaniaInvest Taarifa hii, inasema pia, kwamba vijijini, ambapo 70% ya watanzania wanaishi 7% tu ndo wamefikiwa na umeme. Sina hamu ya kubishana nawe kwenye maswala ambayo yapo wazi.
Sasa wewe unachopinga ni kitu gani, katika hiyo link uliyoweka mstari wa chini unasema" by June 2016, vijijini 36% walishaunganishwa na umeme", na huyu meneja amesema by October 2017, vijijini 49.3% wameunganishwa, ndani ya kipindi cha miezi 18, waliunganisha 13% ya vijiji vyote, kuna shida gani hapo?
 
Rudi kwenye hicho kibolg ulicholeta halafu usome huu mstari mara kumi 'Furthermore, he adds, 49.3 percent of rural households are connected to the national grid.'
Kama huelewi maana ya huo mstari, tafuta mtu akutafsirie, halafu rejelea zile hesabu za darasa la nne Kenya japo hufanywa na kidato cha nne kwenu......
Kama kufikia hapo hutopata aibu ya unavyoanika umbumbu wako, basi kwaheri, sidhani kama nina uwezo wa kukusaidia, maana wewe ung'ang'anizi wako ni balaa hata kama unalipwa, nilishangaa hadi jamaa Watanzania wanakuweka kwenye ignore list ya JF.
Wewe ni miongoni mwa watu wapumbavu sana na hao wanaokuajiri wanamatatizo sana, wewe nimekuambia tafuta wastani wa 49.3% na mjini ni 95%, ukitafuta wastani unapata ngapi?, peleka stress zako za ukabila huko kwenu usituambukiza ujinga humu jamvini, mimi siye niliyekusababishia uzaliwe katika nchi yenye ukabila na slums, kwahiya usinilimbikizie stress zako za maisha.
 
Kuhusu umeme siyo masikhara Tanesco wamepiga kazi. Walivyo amua ku outsource walicheza sana. Mwaka jana nilitoka Bukoba mpaka Dar kwa gari vijiji vina waka taa tu. Uko Bukoba vijiji vyote nilivyo pita vilikua na umeme, Ile hali ilinifurahisha sana.
 
Back
Top Bottom