Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Nakumbuka kipindi fulani Magufuli akiwa Rais basi tukasikia habari kuwa Wakenya wanamfagilia mbaya na wangetamani kuwa na Rais wa aina hiyo. DP wao ndio Magufuli, sio Ruto kama wengi walivyodhani
Sasa kuna huyu jamaa, Kaimu wa Rais, Rigathi Gachagua, ndio wakenya wana experience Magufuli wao
Jamaa anatiririka bila kuchuja maneno, yaani ustaarabu wa uongozi ni zero
Ukisikia akiongea ni burudani tu 😁😁
Picha lilianza siku ya kuapishwa anaanza kumnanga Uhuru palepale kuwa wameifilisi serikali
Siku nyingine namsikia akiwaambia wananchi wa kabila la Wakamba kuwa aligombana na Ruto kuteua waziri kutoka kwenye kabila lao maana walipigia kura upinzani
Juzi nimesikia tena akimuambia Ruto amuachie Raila ili aonyeshe namna ya kumnyoosha 🤣
Jamaa akiwa kanisani huko Mlima Kenya nafikiri, akaanza kuwananga waliompigia kampeni Raila, mara akamfokea mwanamuziki anaitwa Ben Gitae kwa kumuimbia nyimbo Raila
Kisha akasema kamsamehe na kuagiza palepale apewe kazi Ikulu, jamaa kama vile Ikulu ni kioski chake binafsi vile🤣
Halafu jamaa ana mind sana watu wa kabila lake kuwa upande wa Raila, anaona kama usaliti wa hali ya juu
Sasa kuna huyu jamaa, Kaimu wa Rais, Rigathi Gachagua, ndio wakenya wana experience Magufuli wao
Jamaa anatiririka bila kuchuja maneno, yaani ustaarabu wa uongozi ni zero
Ukisikia akiongea ni burudani tu 😁😁
Picha lilianza siku ya kuapishwa anaanza kumnanga Uhuru palepale kuwa wameifilisi serikali
Siku nyingine namsikia akiwaambia wananchi wa kabila la Wakamba kuwa aligombana na Ruto kuteua waziri kutoka kwenye kabila lao maana walipigia kura upinzani
Juzi nimesikia tena akimuambia Ruto amuachie Raila ili aonyeshe namna ya kumnyoosha 🤣
Jamaa akiwa kanisani huko Mlima Kenya nafikiri, akaanza kuwananga waliompigia kampeni Raila, mara akamfokea mwanamuziki anaitwa Ben Gitae kwa kumuimbia nyimbo Raila
Kisha akasema kamsamehe na kuagiza palepale apewe kazi Ikulu, jamaa kama vile Ikulu ni kioski chake binafsi vile🤣
Halafu jamaa ana mind sana watu wa kabila lake kuwa upande wa Raila, anaona kama usaliti wa hali ya juu