Hatimaye Kenya wametaifisha ngombe 4000 wa Tanzania

Jamani nawashauri watanzania wote mutangaze maandamano ya kwenda kumuomba msamaha mkuu wa mkoa wa dsm alegeze kamba
 
Duh halafu mbaya zaidi imefanywa na Wamaasai wa Kenya, hivyo sasa kabila moja na ndugu walioishi pamoja miaka yote sasa wameanza kuzozana kwa msingi wa mpaka wa kikoloni, nilikua naogopa hili lisitokee. Maana hawa Wamaasai ni kabila moja, ni kama leo mzungu aje achore mpaka ndani ya Mwanza na kuwagawanya Wasukuma, utakuta kuna hata ndugu wa kuzaliwa kutoka tumbo moja wamegawanywa.
 
Bora hao wanataifisha,ingekuwa huku wangechomwa moto.
 
Sirikali ya majuha, ngoja waanze kulipa visasi si tulifikili mazuri??!!!!!
Wanamlipa kisasi laigwan lowasa hao wamasai wanaoishi Kenya mpakani na Tanzania ni wafuasi wa lowasa na chadema na hizo ngombe ni za wanachadema wamasai walio chini ya Laigwan Lowasa. Sina tatizo serikali ya Kenya ikitaka hata kuwachoma moto ichome tu na ikitaka kuwatimua iwatimue tu
 
Sisi si tumechoma kuku hazina hatia........ Wenzetu ng'ombe watafuga.
 
Magu baba lini kuzuia nyumbu kuvuka mipaka? Nyumbu wa Kenya hawatufai baba.
Nilipoona tu huu uzi akili yangu ilikimbilia kwenye nyumbu.
Ipo siku hao nyumbu watafungiwa upande mmoja wapo;maana ujirani sasa ushaanza kuingia doa!
 
Uongozi wa kukurupuka wa Mungu na wafuasi wake wanaiingiza nchi pabaya..... Hongera sana Serikali ya Kenya kwa hatua nzuri
 
Tit for tat ukiliazisha jamaa wanamalizia alafu unadai wanatukomoa wataifishe tu hata kama ni 50,000.
 
wataifishe hadi ndovu wanaovuka seregenti kwenda masai mara ili magu atie akili
 
Tit for tat ukiliazisha jamaa wanamalizia alafu unadai wanatukomoa wataifishe tu hata kama ni 50,000.
Haina shida hao ngombe wataifishe tu ila hata vifaranga cha Kenya hakitakanyaga Tanzania. Serikali idhibiti mipaka na njia zote za panya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…