fundinaizer
JF-Expert Member
- Dec 15, 2016
- 1,758
- 2,713
Afu usikike unatoa povu kua upo kwenye EACUmesikia watanzania tumelalamika? Mimi mmojawapo nimepongeza hatua hiyo ya serikali ya Kenya na kusisitiza kila MTU achunge ngombe wake kwao kwenye nchi yake
Ingekua hivyo wafugaji wange-save demand ya walaji wachache, tofautisha ng'ombe wa maziwa na wanyamaUfugaji wa kisasa ni wa kuwa na mifugo michache unayoweza kuihudumia na shamba kubwa la malisho na maji ya kutosha
The Kenyan government has not confiscated or nationalized any domestic animals from Tanzania
Tanzania ni nchi yako wachache wasikufanye kushiriki APARTHY.Na sisi tulivotaifisha ng'ombe wao? Ulitegemea wakenya watupongeze au? Tit for tit!
Asante!Poa tu kila MTU achunge ngombe wake kwenye nchi yake.
Ngombe wa ndugu zake Lowasa wamasai wenzie ndio wameshikwa atajijuaSababu hakuna ng'ombe wako walikamatwa.
Swala la Ardhi Tanzania tuligoma sio sehemu ya jumuiya hatutaki.Wakenya wasilete ngombe Tanzania kula majani ya ardhi yetu kote walikubaliana swala LA ardhi Tanzania tuligoma.Hilo sio swala LA EAC please.Afu usikike unatoa poa kua upo kwenye EAC
Mpaka hapa nimekuelewa hongera kwa kuwachukia wapinzani na kuchanganya siasa kwenye kila Jambo.Natetea wazalendo watetea nchi lakini wakiwa chama ambacho kazi yake kutetea mafisadi wa mataifa ya nje wanaoiba raslimali zetu za madini nk Na kusaidia wezi kuzuia Mali zetu nje ziwe bombardier nk sitajali vingombe vyao vikizuliwa Kenya hata vikichomwa moto to hell.Nashangaa serikali ya Kenya hadi sasa kwa mini hawajawatia kibiriti hao ngombe
Za wanyarwanda waziache tu au?Wala nchi haitakiwi kutishika serikali ikomae tu iendelee kutimua wafugaji toka Kenya kuna sababu sizianiki hapa ila serikali iko kwenye right track
Hoja tunaongelea Kenya acha kudandia forum za watu kaanzishe thread yako ya ngombe wa Rwanda usitutoe nje ya madaZa wanyarwanda waziache tu au?
My friend I am a proud East African. Kenyan interests are Tanzanian interests and vice versa.Tanzania ni nchi yako wachache wasikufanye kushiriki APARTHY.
Wapinzani pia huchanganya siasa kila jambo iwe madini,makinikia bombardier nk usisahau hiloMpaka hapa nimekuelewa hongera kwa kuwachukia wapinzani na kuchanganya siasa kwenye kila Jambo.
Kwahili nakuunga mkonyo bwana jingalao.Ufugaji wa kuhamahama hauna tija na ni wa kizamani
MamlukiSiasa za kikanda, siasa za kikabila na utaifa, vitaumiza sana wananchi wa mipakani
"SAME INTERESTS" Kama ndivyo basi ngoja tuone diplomasia kazini ktk kuzima hili.My friend I am a proud East African. Kenyan interests are Tanzanian interests and vice versa.
Ukijua maama kamili ya UPINZANI katika siasa basi itakusaidia kutofautisha matukio,Wapinzani pia huchanganya siasa kila jambo iwe madini,makinikia bombardier nk usisahau hilo
Wewe ulipodandia Uzi wa jamaa na kuandika comment yako, ulilenga watu gani hasa wanaopaswa kusoma comment yako hiyo?Hoja tunaongelea Kenya acha kudandia forum za watu kaanzishe thread yako ya ngombe wa Rwanda usitutoe nje ya mada
Nimesema Kenya siyo Serikali ya Kenya! Pongezi ndugu zetu wamasaai wa Kenya jicho kwa jicho.The Kenyan government has not confiscated or nationalized any domestic animals from Tanzania
your title is misleading