Hatimaye Kenya wametaifisha ngombe 4000 wa Tanzania

Ngoja tuzuiye na nyumbu wetu serengeti
 
Ushabiki wa kijinga.
MLIPOSHABIKIA kukamatwa ndege ya bombadier canada haikuwa ushabiki wa kijinga? Sasa ng`ombe wamekamatwa na kushikiliwa kenya.Hilo CHADEMA mumeufyata.Mnalo.mngetetea bombardier na mimi ningetetea ng`ombe wenu wanaoshikiliwa kenya
 
Reactions: Oii
MLIPOSHABIKIA kukamatwa ndege ya bombadier canada haikuwa ushabiki wa kijinga? Sasa ng`ombe wamekamatwa na kushikiliwa kenya.Hilo CHADEMA mumeufyata.Mnalo.mngetetea bombardier na mimi ningetetea ng`ombe wenu wanaoshikiliwa kenya
Watu kama wewe huwa wanajigamba kuwa watanzania ni wamoja hawana ukabila wala udini, ila hii aina ya chuki na visasi ulivyonavyo hamvisemi, kimsingi hii chuki ni kubwa kuliko ukabila na udini kwa pamoja.
Yaani Bomu likiripuka Arusha na kuua watu laki moja utasherehekea sana na kupongezana na kuwakejeli marehemu na familia zao kwa sababu unajua wengi wao hawaipendi CCM. Ila kwa unafiki utaendelea kusema watanzania wanapendana hawana udini wala ukabila!!!
 
Sawa tu. Kama wameingia mpakani bila ya kibali its OK. Na TANZANIA wafanye hivyo hivyo loliondo Na musoma. Tuone nani watapata hasara. Kisii yote wa.nategemea malisho Kilimanjaro
 
Wananchi wa mipakani hawajui kuhusu mipaka,wanachojua wao ni ndugu ila siasa za maji taka ndio zinawaumiza wao wala siyo viongozi.
 
Wananchi wa mipakani hawajui kuhusu mipaka,wanachojua wao ni ndugu ila siasa za maji taka ndio zinawaumiza wao wala siyo viongozi.Kuna watu hawana sifa hata ya kuwa balozi wa shina.
 
Wala nchi haitakiwi kutishika serikali ikomae tu iendelee kutimua wafugaji toka Kenya kuna sababu sizianiki hapa ila serikali iko kwenye right track

Ubabe ni suluhisho la muda mfupi tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…