Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
he is so romantic aisee .hyo black natamani anihugHuyu jamaa anamkosesha usingizi Kaguta.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
he is so romantic aisee .hyo black natamani anihugHuyu jamaa anamkosesha usingizi Kaguta.
Huyu jamaa anamkosesha usingizi Kaguta.
Amepanda vizuri eeh, imagine anakuhold mnatoka dinner date.he is so romantic aisee .hyo black natamani anihug
acha kabisa halafu wanaume wa ukweli kama hawa wanajua kupenda cha ukweli kabisa yaaniAmepanda vizuri eeh, imagine anakuhold mnatoka dinner date.
UNA WAZIMU HUYO ANAYETAKA KUWA KIONGOZI ANATOKEA BARA GANI ACHA ULIMBUKENIViongozi wa kiafrika taabu sana, akili ya kuongoza hawana lakini bado wanang'ang'ania kukaa madarakani kwa muda mrefu.
![]()
![]()
![]()
Kaguta anapiga jembe siku hizi, anaendesha baiskeli kwenda na kurudi shambani.
huyu jamaa simpendi kabisaHuyu bila aibu ameifanya nchi mali yake, uliona ile BBC clip anahojiwa kuwa huchoki kutumikia ofisi miaka yote hii, anajibu sichoki kwasababu ninatumikia ofisi kwaajili ya wanangu na wajukuu zangu.
Tundu Lissu wa Uganda huyo.Katika watu wanaomnyima usingizi museveni ni huyu jamaa
Kwani watu wameisha karika hizo nchi mpaka wang'ang'anie wao tu.UNA WAZIMU HUYO ANAYETAKA KUWA KIONGOZI ANATOKEA BARA GANI ACHA ULIMBUKENI
BADO NI AFRICA MKUUKwani watu wameisha karika hizo nchi mpaka wang'ang'anie wao tu.
Hebu iweke hiyo clip.Huyu bila aibu ameifanya nchi mali yake, uliona ile BBC clip anahojiwa kuwa huchoki kutumikia ofisi miaka yote hii, anajibu sichoki kwasababu ninatumikia ofisi kwaajili ya wanangu na wajukuu zangu.
Nielewe nimesema viongozi, ambao ni sehemu ndogo tu waafrika, ugumu unakuwa wapi kulewa hapo?BADO NI AFRICA MKUU
Hebu iweke hiyo clip.
Nimeshindwa kuipata ile lakini mcheki mzee anavyochemka hapo.