Teknocrat
JF-Expert Member
- Oct 20, 2018
- 4,967
- 11,056
Huu ujinga wa kuwachezea ngoma wazungu ni udhalilishaji sana, unaniudhi sanakuna nyingine imetoa hapo Dar mpaka palikuwa na sherehe ya vikundi vya ngoma .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ujinga wa kuwachezea ngoma wazungu ni udhalilishaji sana, unaniudhi sanakuna nyingine imetoa hapo Dar mpaka palikuwa na sherehe ya vikundi vya ngoma .
Mkuu ushahidi upi nipo kwenye hiyo sekta ya Utalii nipo na watu ambao wamepokea na walilipwa kabla hata ya hayo mambo sasa hivi nipo SA pana meli ina safari ya Durban,Cape Town ila itapita Huko Tanzania mwezi wa nane na ingine Desember nayo mtatuambia machafuko ya Somalia tunatumia pesa kuwaleta wageni Tanzania ninyi humu mpo busy kuona kama wanakuja kwa Emergency tuu...Zanzibar imetangazwa kuliko unavyodhania..Watu kama wewe ni wachache sana au wapo ila hawataki kuwa kama wewe.
comrade upo vizuri, ila utakamilika kuwa Comrade kwa kunipa ushahidi, kuhusu hii meli kuwa ilikuwa lazima ikitoka nchini Kenya -Mombasa, ndipo inakuja Tanzania visiwani Zanzibar, vinginevyo nitakuona sawa na wale wenzako tu!.
Sawa tour guide wa kimataifa japo hata sikuelewi au uelewi kabisa andiko, vipi na hawa nao unawasemaje? 👇🏾Mkuu ushahidi upi nipo kwenye hiyo sekta ya Utalii nipo na watu ambao wamepokea na walilipwa kabla hata ya hayo mambo sasa hivi nipo SA pana meli ina safari ya Durban,Cape Town ila itapita Huko Tanzania mwezi wa nane na ingine Desember nayo mtatuambia machafuko ya Somalia tunatumia pesa kuwaleta wageni Tanzania ninyi humu mpo busy kuona kama wanakuja kwa Emergency tuu...Zanzibar imetangazwa kuliko unavyodhania..
Matura mna shida sana tafuta namba ya hiyo meli utapata safari zake uzuri sisi wengine hata huko kwenye meli tumebeba boxi...narudia tena safari ya Tanzania ilikuwepo mimi pia nilipokea wageni Kenyata ambao walitakiwa waanze Kenya ndio waje Tanzania Ila kwa sababu ya machafuko nilienda kuwapokea wakaaza Tanzania wakaenda maeneo mengi hapa na baadae walirudi Kenya..Sawa tour guide wa kimataifa japo hata sikuelewi au uelewi kabisa andiko, vipi na hawa nao unawasemaje? 👇🏾
![]()
Cruise ship changes course from Mombasa to Zanzibar and Dar es Salaam
A cruise ship that was destined for the port of Mombasa has changed its course to Tanzania in the face of the ongoing nationwide opposition demonstrations in Kenya.www.thecitizen.co.tz
Tumemaliza mjadara na wewe tour guide wa kimataifa, nashukuru umekiri kwa sababu ya machafuko, sasa maneno mengi ulikuwa unataka nijue ni mbeba box wa melini na tour guide siyo?.Matura mna shida sana tafuta namba ya hiyo meli utapata safari zake uzuri sisi wengine hata huko kwenye meli tumebeba boxi...narudia tena safari ya Tanzania ilikuwepo mimi pia nilipokea wageni Kenyata ambao walitakiwa waanze Kenya ndio waje Tanzania Ila kwa sababu ya machafuko nilienda kuwapokea wakaaza Tanzania wakaenda maeneo mengi hapa na baadae walirudi Kenya..
Daah unaumia vitu vidogo hivyo faza...Tumemaliza mjadara na wewe tour guide wa kimataifa, nashukuru umekiri kwa sababu ya machafuko, sasa maneno mengi ulikuwa unataka nijue ni mbeba box wa melini na tour guide siyo?.
Point of view ilikuwa hilo uliloandika hayo mengine ni kwa faida yako mwenyewe.
Enjoy your night!.
hebu kabla hujacoments ubishi wako jaribu kuzama mitandaoni mbona hii ipo wazi kabisa hiyo meli ilikuwa mombasa lakini kwa sababu ya hali ilivo huko ikabidi ije zanzibar ...labda kama una chuki zako binafsi au wewe ni mkenyaMnapenda kutengeneza Story Zanzibar ni sehemu inyoongoza kwa Utalii ikishindana na Morocco pamoja na Cape Town Meli na wageni wake waandaa safari wanaenda wapi na wanalipia kabla hata hawajaanza safari hiyo meli sio bus kuwa itabadili route juu kwa juu ina Bima na matakataka yote mpaka kwa wageni kwa kila safari...ukibahatika kuonana na mtalii hapo wana ramani kabisa ya hiyo Meli wakitoka hapo wataelekea wapi na wapi kwa gharama walizolipia...
Daah niwe na chuki wakati napata pesa kupitia watalii safari ya Kenya ilikuwepo hata Zanzibar ilikuwepo ila kutokana na fujo wakaamua kuja Zanzibar uzuri safari za meli ukiandika tuu Jina lake itakwambia sio bus lile kwamba pana vitu utafichwa shida hamjui vitu harafu mnataka kufundisha mabaharia...hebu kabla hujacoments ubishi wako jaribu kuzama mitandaoni mbona hii ipo wazi kabisa hiyo meli ilikuwa mombasa lakini kwa sababu ya hali ilivo huko ikabidi ije zanzibar ...labda kama una chuki zako binafsi au wewe ni mkenya