Anonymous Caller
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 679
- 870
Beki wa Tanzania anayecheza nchini uturuki akiwa na timu ya Goztepe SK, Novatus Dismas Miroshi amefaulu kujinasua kutoka kifungo cha kukalia benchi na kuanza kuaminiwa kuanza.
Leo amefunga goli la pili katika mchezo ambao wamepoteza 3-2 na Fenerbahce inayonolewa na Jose Morinho.
Hii kwake ni mechi ya 9 mfululizo akiwa mchezaji anayeanza kikosini cha kwanza...akiwa kafunga jumla ya magoli 3 toka ajiunge na timu hiyo mwaka jana
Beki kufunga sio lelemama jamani.
Ni jambo linalovutia sana kuona wachezaji wetu sasa wanaanza kuaminiwa kucheza first 11 huko nje na kuwapga benchi wazungu wakiwa kwao.
Nafurahi kusikia hata Kelvin John naye panga pangua humtoi nje kwny timu yake ya Aaliborg, ligi kuu Denmark
Mwingine sijui nani, yupo Newcastle Jets ya ligi kuu ya Australia.nasikia amesajiliwa jana
Wengine nipeni taarifa kama wapo...
Leo amefunga goli la pili katika mchezo ambao wamepoteza 3-2 na Fenerbahce inayonolewa na Jose Morinho.
Hii kwake ni mechi ya 9 mfululizo akiwa mchezaji anayeanza kikosini cha kwanza...akiwa kafunga jumla ya magoli 3 toka ajiunge na timu hiyo mwaka jana
Beki kufunga sio lelemama jamani.
Ni jambo linalovutia sana kuona wachezaji wetu sasa wanaanza kuaminiwa kucheza first 11 huko nje na kuwapga benchi wazungu wakiwa kwao.
Nafurahi kusikia hata Kelvin John naye panga pangua humtoi nje kwny timu yake ya Aaliborg, ligi kuu Denmark
Mwingine sijui nani, yupo Newcastle Jets ya ligi kuu ya Australia.nasikia amesajiliwa jana
Wengine nipeni taarifa kama wapo...