Hatimaye Kocha wa Magolikipa Milton Nienov apewa mkono wa kwa heri na Timu ya Yanga SC

Hakuna cha kuipenda yanga ila anaipenda kazi yake
 
Acha uongo. Mameneja hawahusiki na kulipa staff. Labda timu za ndondo Cup.
 
hii sio habari kwa sasa lilitarajiwa na mengi mengine yanatarajiwa pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…