Hatimaye Kramo afunga goli Simba ikiifunga 6 bila Ngome fc.

Frank Wanjiru

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2012
Posts
22,719
Reaction score
40,739
Hatimae Aubin Kramo leo amecheza na kufunga goli Simba ikiifunga timu ya Ngome fc ya Dar es Salaam goli sita kwa bila. Magoli ya Simba yamefungwa na Aubin Kramo, Baleke goli 2, Kapombe, Onana na Chilunda.

NB: Ikumbukwe ilisemakana kuwa Kramo kila akipangwa kucheza match anaanza kuumwa,tukumbuke pia Boko hakuwepo alikuwa Algeria.
 
Ndugu Popoma alishawahi kusema uu mwendelezo wa goli tanotano wanazo funga yanga itawafanya Viongozi wa Simba watafute ata vitimu vya hovyo ili wawape mashabiki wao ladha ya timu yao ya Simba kufunga magoli mengi kama Yanga.
Yanayo fanyika sasa yalisha tabiliwa hapo kabla lengo ni kuwapumbaza Mbumbumbu fc.[emoji3][emoji3]

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Futa Uzi wako.

Upo Nyuma ya wakati.
JUZI tu amefunga goli na amesha PONA.


Ujinga ni MZIGO.
 
Daaah simba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…