Hatimaye Lazaro Nyalandu aoa; kaoa miss Tanzania

Hatimaye Lazaro Nyalandu aoa; kaoa miss Tanzania

Status
Not open for further replies.
wengi wa hao wabunge na viongozi wanaochelewa kuoa, wamepeleka kizazi kwa mganga wa kienyeji, kinakuwa ndo kafara ya cheo chao cha ubunge...mfano zitto alisema yeye ni mchawi, aliaga kwao kwa wazee alipokuwa anakuja
dar, ndo maana hakufa kwenye ile sumu

waliyokuwa wanataka afe...unaona?....mtu
mzima kama zitto anaishi bila mke..kizazi
kapeleka wapi?

Mh! We Umejuaje?
 
Faraja Kota ndio the Next Firstlady wa Tz.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom