Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,074
- 20,608
Macho yako mkuu![emoji13] [emoji13][emoji15] [emoji15] [emoji15] Huyu sio Nyani Ngabu kweli? Au macho yangu...
Hawezi julikana mtu kwakuleta hoja/ nyuzi zenye mashiko na comments zenye mashiko?, hadi atoe iyo hela?, hao wote ulowalist apo juu walitoa iyo hela?Kujulikana
Dogo hivi unadhani hio list mods ndio wanaiweka?Hatimaye mzee wa USA Nyani Ngabu afutwa rasmi kwenye list ya Notable Members wa JF pia kuna uwezekano hata ile title ya Platinum member nayo amenyang'anywa .
Pia kuna uwezekano mkubwa hata akawa amepata permanent ban hivyo nawapa pole wafuasi wote wa Nyani Ngabu kuna uwezekano msimuone tena humu jukwaani au hata mkimuona atakuwa hana zile mbwembwe zake maana mods wamemfuta kabisa kwenye wale notable member na cheo chake cha uplatnum nacho wamenyang'anya
View attachment 512015hapa kabla ya Mshana Jr alikuwa Nyani Ngabu yaani namaanisha kwenye list ilikuwa akitoka Rutashubanyuna alikuwa anafata Nyani ngabu ila wamemfuta kwenye list ndo ameonekana mshana jr
View attachment 512017Angalia list hii na hiyo ya juu
View attachment 512018hii list ya most likes ilikuwa akitoka mkwepa kodi anafata Nyani Ngabu ila baada ya kulambwa permanent ban na kuvuliwa u member ndo hivyo haonekani tena
Ha ha ha ha ama kweli mods wa JF si wamchezo mchezo ,
Na hili ni onyo kwa watumiaji wa mtandao huu wote mjitahidi kadri mnavyoweza kutumia lugha nzuri maana inaonekana jamaa kuna kitu amekifanya mpaka mods wakakwazika na kumfanyia walichomfanyia
Ustaadh Swaleh=Nyani Ngabu??Si bure....wewe ni bonge la fan wa Ngabu.
A total devotee!
Mti wenye matunda...
Si bure....wewe ni bonge la fan wa Ngabu.
A total devotee!
[emoji15] [emoji15] [emoji15] Huyu sio Nyani Ngabu kweli? Au macho yangu...
Ninaendelea kukonect dots za huyu Nyani.Ndio yeye huyo [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Nyani Ngabu ameshaenda tayali yamebaki ma id yake mengine ya ajabu ajabu.
Nini shida hasa iliyokupelekea kumfuatilia jamaa. Ww naye unatabia za kike kike.[emoji35]Hatimaye mzee wa USA Nyani Ngabu afutwa rasmi kwenye list ya Notable Members wa JF pia kuna uwezekano hata ile title ya Platinum member nayo amenyang'anywa .
Pia kuna uwezekano mkubwa hata akawa amepata permanent ban hivyo nawapa pole wafuasi wote wa Nyani Ngabu kuna uwezekano msimuone tena humu jukwaani au hata mkimuona atakuwa hana zile mbwembwe zake maana mods wamemfuta kabisa kwenye wale notable member na cheo chake cha uplatnum nacho wamenyang'anya
View attachment 512015hapa kabla ya Mshana Jr alikuwa Nyani Ngabu yaani namaanisha kwenye list ilikuwa akitoka Rutashubanyuna alikuwa anafata Nyani ngabu ila wamemfuta kwenye list ndo ameonekana mshana jr
View attachment 512017Angalia list hii na hiyo ya juu
View attachment 512018hii list ya most likes ilikuwa akitoka mkwepa kodi anafata Nyani Ngabu ila baada ya kulambwa permanent ban na kuvuliwa u member ndo hivyo haonekani tena
Ha ha ha ha ama kweli mods wa JF si wamchezo mchezo ,
Na hili ni onyo kwa watumiaji wa mtandao huu wote mjitahidi kadri mnavyoweza kutumia lugha nzuri maana inaonekana jamaa kuna kitu amekifanya mpaka mods wakakwazika na kumfanyia walichomfanyia
Mkuu, hahaha unapenda sana ukabila wewe.. Ila hao watu unaotaka kuweka ushindani nao sio size yenu,pole sana ngosha wa USA si unajua jamii forum ni ya wachaga hawapend kuona msukuma anadunda au kuona mtu anamutetea ngosha makonda
nanyupu NGOSHA WA ILEMELA
Sio namtumbo ni bariadi1) amekuwa mkosa adabu
2) amehama dini kinyume cha sheria
3) amerudi ccm contrary to
national development vision
2015/2050
4) Amerudi kijijini!!! Anaendesha gesti bubu huko namtumbo!! Ile hadhi ya Usa baaby imeyeyuka!! Chunga asinisikie! Ustaadh
swaleh
Bro kiranga alipotelea wapi?Kidume alikuwa mkuu Kiranga tu!! Alikuwa anapambana na jeshi zima la JF jeshi linapoteana!! Nam miss sana yule kiumbe!
Ndo yeye.kawa ostadh siku hizi[emoji15] [emoji15] [emoji15] Huyu sio Nyani Ngabu kweli? Au macho yangu...
Hapo kuna platinum member wangapi niliowaweka?Hawezi julikana mtu kwakuleta hoja/ nyuzi zenye mashiko na comments zenye mashiko?, hadi atoe iyo hela?, hao wote ulowalist apo juu walitoa iyo hela?
SawaNini shida hasa iliyokupelekea kumfuatilia jamaa. Ww naye unatabia za kike kike.[emoji35]
Wako kundi 3, ila lajuu wapo 4 na la pili wapo 4Hapo kuna platinum member wangapi niliowaweka?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ndo yeye.kawa ostadh siku hizi
Haaahaaa Kibumbu!Umerudi kivingine[emoji38] [emoji38]
Mi mgeni umu naomba marafikiHatimaye mzee wa USA Nyani Ngabu afutwa rasmi kwenye list ya Notable Members wa JF pia kuna uwezekano hata ile title ya Platinum member nayo amenyang'anywa .
Pia kuna uwezekano mkubwa hata akawa amepata permanent ban hivyo nawapa pole wafuasi wote wa Nyani Ngabu kuna uwezekano msimuone tena humu jukwaani au hata mkimuona atakuwa hana zile mbwembwe zake maana mods wamemfuta kabisa kwenye wale notable member na cheo chake cha uplatnum nacho wamenyang'anya
View attachment 512015hapa kabla ya Mshana Jr alikuwa Nyani Ngabu yaani namaanisha kwenye list ilikuwa akitoka Rutashubanyuna alikuwa anafata Nyani ngabu ila wamemfuta kwenye list ndo ameonekana mshana jr
View attachment 512017Angalia list hii na hiyo ya juu
View attachment 512018hii list ya most likes ilikuwa akitoka mkwepa kodi anafata Nyani Ngabu ila baada ya kulambwa permanent ban na kuvuliwa u member ndo hivyo haonekani tena
Ha ha ha ha ama kweli mods wa JF si wamchezo mchezo ,
Na hili ni onyo kwa watumiaji wa mtandao huu wote mjitahidi kadri mnavyoweza kutumia lugha nzuri maana inaonekana jamaa kuna kitu amekifanya mpaka mods wakakwazika na kumfanyia walichomfanyia
Mbona mara nyingi tu hupigwa ban au we ndio umeona leoSio namkazia bali namuweka sawa
Kwa kipindi kirefu amekuwa akijiona yeye ndo yeye humu JF mpaka baadhi ya watu walikuwa wanahisi huenda na yeye ni moderator halafu kuna uzi miaka ya nyuma ulianzishwa na member mmoja anaitwa Wambee alikuwa analalamika mbona jamaa hapewi ban hata akifanya kosa
,sasa moderator wameonesha kuwa hawampendelei mtu yeyote humu ukizingua unapewa adhabu yako kulingana na kosa ulilolifanya
Huyu ngabu mpaka akafutwa kwenye hiyo list na kupewa ban juu inaonekana moja kwa moja alifanya kosa kubwa sana lililopelekea mods kumpa adhabu hiyo