Hatimaye leo Nyani Ngabu afutwa rasmi kwenye list ya Notable Members.

Hatimaye leo Nyani Ngabu afutwa rasmi kwenye list ya Notable Members.

Hatimaye mzee wa USA Nyani Ngabu afutwa rasmi kwenye list ya Notable Members wa JF pia kuna uwezekano hata ile title ya Platinum member nayo amenyang'anywa .


Pia kuna uwezekano mkubwa hata akawa amepata permanent ban hivyo nawapa pole wafuasi wote wa Nyani Ngabu kuna uwezekano msimuone tena humu jukwaani au hata mkimuona atakuwa hana zile mbwembwe zake maana mods wamemfuta kabisa kwenye wale notable member na cheo chake cha uplatnum nacho wamenyang'anya

View attachment 512015hapa kabla ya Mshana Jr alikuwa Nyani Ngabu yaani namaanisha kwenye list ilikuwa akitoka Rutashubanyuna alikuwa anafata Nyani ngabu ila wamemfuta kwenye list ndo ameonekana mshana jr

View attachment 512017Angalia list hii na hiyo ya juu

View attachment 512018hii list ya most likes ilikuwa akitoka mkwepa kodi anafata Nyani Ngabu ila baada ya kulambwa permanent ban na kuvuliwa u member ndo hivyo haonekani tena


Ha ha ha ha ama kweli mods wa JF si wamchezo mchezo ,


Na hili ni onyo kwa watumiaji wa mtandao huu wote mjitahidi kadri mnavyoweza kutumia lugha nzuri maana inaonekana jamaa kuna kitu amekifanya mpaka mods wakakwazika na kumfanyia walichomfanyia
Dogo hivi unadhani hio list mods ndio wanaiweka?
Hio ni automatic baba
 
Mti wenye matunda...

Si bure....wewe ni bonge la fan wa Ngabu.

A total devotee!

[emoji15] [emoji15] [emoji15] Huyu sio Nyani Ngabu kweli? Au macho yangu...

Ndio yeye huyo [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Nyani Ngabu ameshaenda tayali yamebaki ma id yake mengine ya ajabu ajabu.
Ninaendelea kukonect dots za huyu Nyani.
 
Hatimaye mzee wa USA Nyani Ngabu afutwa rasmi kwenye list ya Notable Members wa JF pia kuna uwezekano hata ile title ya Platinum member nayo amenyang'anywa .


Pia kuna uwezekano mkubwa hata akawa amepata permanent ban hivyo nawapa pole wafuasi wote wa Nyani Ngabu kuna uwezekano msimuone tena humu jukwaani au hata mkimuona atakuwa hana zile mbwembwe zake maana mods wamemfuta kabisa kwenye wale notable member na cheo chake cha uplatnum nacho wamenyang'anya

View attachment 512015hapa kabla ya Mshana Jr alikuwa Nyani Ngabu yaani namaanisha kwenye list ilikuwa akitoka Rutashubanyuna alikuwa anafata Nyani ngabu ila wamemfuta kwenye list ndo ameonekana mshana jr

View attachment 512017Angalia list hii na hiyo ya juu

View attachment 512018hii list ya most likes ilikuwa akitoka mkwepa kodi anafata Nyani Ngabu ila baada ya kulambwa permanent ban na kuvuliwa u member ndo hivyo haonekani tena


Ha ha ha ha ama kweli mods wa JF si wamchezo mchezo ,


Na hili ni onyo kwa watumiaji wa mtandao huu wote mjitahidi kadri mnavyoweza kutumia lugha nzuri maana inaonekana jamaa kuna kitu amekifanya mpaka mods wakakwazika na kumfanyia walichomfanyia
Nini shida hasa iliyokupelekea kumfuatilia jamaa. Ww naye unatabia za kike kike.[emoji35]
 
pole sana ngosha wa USA si unajua jamii forum ni ya wachaga hawapend kuona msukuma anadunda au kuona mtu anamutetea ngosha makonda


nanyupu NGOSHA WA ILEMELA
Mkuu, hahaha unapenda sana ukabila wewe.. Ila hao watu unaotaka kuweka ushindani nao sio size yenu,
 
1) amekuwa mkosa adabu
2) amehama dini kinyume cha sheria
3) amerudi ccm contrary to
national development vision

2015/2050
4) Amerudi kijijini!!! Anaendesha gesti bubu huko namtumbo!! Ile hadhi ya Usa baaby imeyeyuka!! Chunga asinisikie! Ustaadh
swaleh
Sio namtumbo ni bariadi

A big die hard fan wa Nyani Here
 
Hawezi julikana mtu kwakuleta hoja/ nyuzi zenye mashiko na comments zenye mashiko?, hadi atoe iyo hela?, hao wote ulowalist apo juu walitoa iyo hela?
Hapo kuna platinum member wangapi niliowaweka?
 
Hatimaye mzee wa USA Nyani Ngabu afutwa rasmi kwenye list ya Notable Members wa JF pia kuna uwezekano hata ile title ya Platinum member nayo amenyang'anywa .


Pia kuna uwezekano mkubwa hata akawa amepata permanent ban hivyo nawapa pole wafuasi wote wa Nyani Ngabu kuna uwezekano msimuone tena humu jukwaani au hata mkimuona atakuwa hana zile mbwembwe zake maana mods wamemfuta kabisa kwenye wale notable member na cheo chake cha uplatnum nacho wamenyang'anya

View attachment 512015hapa kabla ya Mshana Jr alikuwa Nyani Ngabu yaani namaanisha kwenye list ilikuwa akitoka Rutashubanyuna alikuwa anafata Nyani ngabu ila wamemfuta kwenye list ndo ameonekana mshana jr

View attachment 512017Angalia list hii na hiyo ya juu

View attachment 512018hii list ya most likes ilikuwa akitoka mkwepa kodi anafata Nyani Ngabu ila baada ya kulambwa permanent ban na kuvuliwa u member ndo hivyo haonekani tena


Ha ha ha ha ama kweli mods wa JF si wamchezo mchezo ,


Na hili ni onyo kwa watumiaji wa mtandao huu wote mjitahidi kadri mnavyoweza kutumia lugha nzuri maana inaonekana jamaa kuna kitu amekifanya mpaka mods wakakwazika na kumfanyia walichomfanyia
Mi mgeni umu naomba marafiki
 
Sio namkazia bali namuweka sawa

Kwa kipindi kirefu amekuwa akijiona yeye ndo yeye humu JF mpaka baadhi ya watu walikuwa wanahisi huenda na yeye ni moderator halafu kuna uzi miaka ya nyuma ulianzishwa na member mmoja anaitwa Wambee alikuwa analalamika mbona jamaa hapewi ban hata akifanya kosa
,sasa moderator wameonesha kuwa hawampendelei mtu yeyote humu ukizingua unapewa adhabu yako kulingana na kosa ulilolifanya

Huyu ngabu mpaka akafutwa kwenye hiyo list na kupewa ban juu inaonekana moja kwa moja alifanya kosa kubwa sana lililopelekea mods kumpa adhabu hiyo
Mbona mara nyingi tu hupigwa ban au we ndio umeona leo
 
Back
Top Bottom