Hatimaye leo Nyani Ngabu afutwa rasmi kwenye list ya Notable Members.

wewe ni mgeni JF,ni vigumu sana kujua who is who humu JF
 
Mimi reporter tu sina ugomvi na Nyani Ngabu ila ndo hivyo kavuliwa vyeo kawa wakaida sana ,kawa mdogo kama piriton [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Yani zile sababu zilizosababisha mkaanzisha chama la Makapuku,nahisi bado unazo moyoni si bure....[emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Atajitokeza baada ya ban
Nahisi kalambwa permanent ban (sina uhakika lakini) maana sielewi kwa nini ametolewa kwenye u notable member na kuvuliwa cheo cha uplatnum ambacho alikuwa akilingia nacho humu jukwaani.
 
Nahisi kalambwa permanent ban (sina uhakika lakini) maana sielewi kwa nini ametolewa kwenye u notable member na kuvuliwa cheo cha uplatnum ambacho alikuwa akilingia nacho humu jukwaani.
Muda utasema
 
Kwa TAARIFA ZA UHAKIKA jf mods wamedhamiria kurudisha hadhi yake, hivyo wale watukanaji wajiandae
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kwa hiyo walimnyang'anya kwa muda tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…