Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,074
- 20,608
Au Gwajima [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kutoka kuwa Nyani Ngabu mpaka kujiita Ustadhi Swalehe.. .
Hahahaha Naona Laana za watu uliokuwa unawadharau humu zinaanza kukutafuna ... Tubu kaka ukimaliza kujiita ustadhi Swakele Ruksa Kujiita hata Mchungaji Rwakatale
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nyan ni famba tu
Nimeuliza swali... Kama huna jibu wewe ndo ukae kimya mkuu!Kaa kimya kama kitu hujui sio lazima uchangie kila thread unayoiona.
Hilo swali lako kwa upeo wako unahisi ulipaswa ujibiwe vipi?Nimeuliza swali... Kama huna jibu wewe ndo ukae kimya mkuu!
Hiyo title ya u platinum member inapatikana kwa kununuaSikuwah kuona posti ya maana ya huyu Jamaa nashangaa ety platinum member
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Tumeanza na nyani ngabu kwenye ukaguzi wa vyeti feki , Huyu Binaadamu tumemkuta na vyeti feki kuanzia chekechea mpaka chuo ...
Tumefanya maamuzi haya mazito kulinda hadhi ya Jamii Forum kuvamiwa na wahuni, vibaka na Washenzi kama Mkimbizi huyu wa kitanganyika alieko huko kwa Obama.
Hivyo Basi tunamuomba huyu mdau anaejiita Ustadhi swaleh a.k.a nyani ngabu tumkute hapo calfonia kwenye stand ya Bajaji za kwenda Washington ili Tumpekue vizuri Kama nati zake za ubongo zimekaa vizuri kabla hatujampa full JF Access.
daud1990
Msemaji WaJamii Forum
Anajiboost kupitia celebrity.Ndo maisha ya u celebrity hayo....
Ma fans kila kona....na jamaa naye ni fan wangu tu huyo.
Ooh kumbe ndo maana bhn coz sijawah ona mada ya maana ameleta huku ndani ,nilimshangaa sana anamtetea bashite nkajua anatumia tumbo kufkr nlimdharau nikampuuza sanaHiyo title ya u platinum member inapatikana kwa kununua
Bei yake elf 30
Pia kuna title ya gold member nk nayo ina bei yake.
Kuna member asiyenijua humu JF??Anajiboost kupitia celebrity.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kutoka kuwa Nyani Ngabu mpaka kujiita Ustadhi Swalehe.. .
Hahahaha Naona Laana za watu uliokuwa unawadharau humu zinaanza kukutafuna ... Tubu kaka ukimaliza kujiita ustadhi Swakele Ruksa Kujiita hata Mchungaji Rwakatale
Naona unamkazia nyaniKuna member asiyenijua humu JF??
Wajanja wote wa JF wananijua ,wasionijua ni majitu ya hovyo hovyo ila ukiwa mjanja lazima unijue Hance Mtanashati
Sio namkazia bali namuweka sawaNaona unamkazia nyani
Alipigwa permanent ban au alipoteaje humu??Kidume alikuwa mkuu Kiranga tu!! Alikuwa anapambana na jeshi zima la JF jeshi linapoteana!! Nam miss sana yule kiumbe!
Mkuu si unaweza upigwe ban na hii??Mbona hata wewe unanikubali!
Siku ya pili mfululizo unanianzishia nyuzi na tayari tupo ukurasa wa 5 hapa.
Thanks man! I appreciate you.
Una contacts zake?Namuuliza hapo atupe majibu ,ila inaaonekana aliwatolea mods lugha sizizofaa (sina uhakika lakini)