Hatimaye leo Nyani Ngabu afutwa rasmi kwenye list ya Notable Members.

Hatimaye leo Nyani Ngabu afutwa rasmi kwenye list ya Notable Members.

Nyani ngabu ni jembe la JF members.

Hakunaga mwingine, Kaka unajua kuwa una fans wengi sana sana ambao wivu wao wakikusoma ni kubonyeza kuuipoti.

Bila wewe JF haiendi, tunapata majonzi kwa kukumisi.

Ngabu oyeeeeeeee
 
Kumbe inajiweka yenyewee,hebu elezea kidogo tuelewe mi nilijua mods ndio wanaweka
Hio kama wewe una post nyingi kuliko members wote ww ndio unakuwa wa kwanza pale.
Kama una likes nyingi unakuwa pale juu.
Thats it.
Ukitaka uonekane kwemye top ten. Wewe komaa uwe na post laki noja uone kama si utakuwa unaongoza kwenye hii top ten yao
 
Nyani ngabu ni jembe la JF members.

Hakunaga mwingine, Kaka unajua kuwa una fans wengi sana sana ambao wivu wao wakikusoma ni kubonyeza kuuipoti.

Bila wewe JF haiendi, tunapata majonzi kwa kukumisi.

Ngabu oyeeeeeeee
Sasa hapa kuna watu wanatamani wakuzabe hata vibao kwa ulivyoandika[emoji23]
 
Hio kama wewe una post nyingi kuliko members wote ww ndio unakuwa wa kwanza pale.
Kama una likes nyingi unakuwa pale juu.
Thats it.
Ukitaka uonekane kwemye top ten. Wewe komaa uwe na post laki noja uone kama si utakuwa unaongoza kwenye hii top ten yao
Kazi kubwa sie wengine itatuchukua miaka [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kitu muhimu JF ni kupata na kutoa habari sioni umuhimu wa hizo mbwembwe za likes na trophy kabisa na sielewi navyoona mtu kakomaa kuwaza hizo rank siku zote najitahidi nisipate BAN ili niendelee kupata na kutoa habari na sijawahi kupata BAN naamini Ngabu kwa njia nyingine ataendelea kupata na kutuletea habari kama kawaida.
 
Nyani ngabu ni jembe la JF members.

Hakunaga mwingine, Kaka unajua kuwa una fans wengi sana sana ambao wivu wao wakikusoma ni kubonyeza kuuipoti.

Bila wewe JF haiendi, tunapata majonzi kwa kukumisi.

Ngabu oyeeeeeeee
Ha ha ha ha ,we mjaze ujinga tu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kupigwa ban ni kawaida

Ila kwa sasa wamemvua ile title yake na wamemtoa kwenye list ya notable members
Ukipigwa ban hauonekani kwenye list ya notable members.

Hivyo wewe kusema amevuliwa vyeo kisa haumwoni hapo unakosea labda kama umepewa taarifa na uongozi wa JF. Lakini unapopigwa ban kwenye list hauonekani. Halafu hakuna mtu anayepanga fulani awe notable member no! Inatokea kutokana na mfumo wa kiteknolojia.

Asante.
 
Nahisi kalambwa permanent ban (sina uhakika lakini) maana sielewi kwa nini ametolewa kwenye u notable member na kuvuliwa cheo cha uplatnum ambacho alikuwa akilingia nacho humu jukwaani.
Hayo maneno kama umefurahia
 
Ukipigwa ban hauonekani kwenye list ya notable members.

Hivyo wewe kusema amevuliwa vyeo kisa haumwoni hapo unakosea labda kama umepewa taarifa na uongozi wa JF. Lakini unapopigwa ban kwenye list hauonekani. Halafu hakuna mtu anayepanga fulani awe notable member no! Inatokea kutokana na mfumo wa kiteknolojia.

Asante.
We jidanganye tu

Mara ngapi analambwa ban lakini anaonekana?

Kwa nn kwa ss haonekani?
 
Back
Top Bottom