Hatimaye Libya yawa shamba la Bibi, officially

Hatimaye Libya yawa shamba la Bibi, officially

Factbox: Gaddafi rule marked by abuses ...

1970s - ARRESTS, TELEVISED HANGINGS

Rights groups and Gaddafi’s foes say that throughout the 1970s police and security forces arrested hundreds of Libyans who opposed, or who the authorities feared could oppose, his rule.

Student demonstrations were put down violently. Political opponents were arrested and imprisoned, or simply disappeared.

Police and security forces rounded up academics, lawyers, students, journalists, Trotskyists, communists, members of the Muslim Brotherhood and others considered “enemies of the revolution,” Human Rights Watch says. Gaddafi warned anyone who tried to organize politically they would face repression.

“I could at any moment send them to the People’s Court ... and the People’s Court will issue a sentence of death based on this law, because execution is the fate of anyone who forms a political party,” Gaddafi said in a speech on November 9, 1974.

A number of televised public hangings and mutilations of political opponents followed, rights groups say.

In 1976 Gaddafi authorized the execution of 22 officers who had participated in an attempted coup the previous year, in addition to the execution of several civilians, rights activist Mohamed Eljahmi has written.

1980s: DETENTION, DISAPPEARANCES

In 1980 authorities introduced a policy of extrajudicial executions of political opponents abroad, termed “stray dogs.”

According to a 2009 article in Forbes magazine by rights activist Eljahmi, Gaddafi’s then deputy Abdel Salam Jalloud issued a public justification in 1980 for the assassination of dissidents abroad, telling Italian media:

“Many people who fled abroad took with them goods belonging to the Libyan people ... Now they are putting their illicit gains at the disposal of the opposition led by (then Egyptian leader Anwar) Sadat, world imperialism, and Israel.”

A failed coup attempt in May 1984 apparently mounted by exiles with internal support led to the imprisonment of thousands of people. An unknown number of people were executed.

In 1988 there was a period which appeared to herald important human rights reforms. Authorities freed hundreds of political prisoners in a wide-ranging amnesty.
Nonsense walichokitaka US UK FRANCE na WALIBYA walokua wakiandamana sasa rasmi wamekipata haya maelezo marefu hayatasaidi bila shaka sasa hv wana demokrasia iliokomaa ila maskini hawana Amani..
 
Tukubali tu kuwa watu wenye asili ya kiarabu uongozi wa kifalme ndo njia sahihi, wangeuboresha tu Basi,mfano angalia Iraq demokrasia wapi na wapi?
Ni kweli Ghadafi alikaa sana madarakani, na Hawa wazungu hawajamtoa kisa demokrsia, sio, he was a big threat to their economic interests.
Huoni walivyo muua demokrasia iko wapi?
Wenye maono ya kitaifa wanataka kiongozi bora na sio uchaguzi wa Kila Mara. China wamepata mwamba Xi na Ususi wamepamata mtaalamu Vladimir Putin
Linganisha hao na sisi ambao Kila Mara tunawaza uchaguzi hamna kitu
Kwa hiyo hao Miamba siku wakifa na nchi zao Ndio basi tena. Kumbuka binadamu haishi milele na anaweza kubadilika muda wowote.
 
Wakome......

Lakini hii isitutishe kuwatoa CCM madarakani......

In fact hata Brotherly Leader Col. Muammar Gaddafi, alipindua utawala uliokuwepo wa Mfalme Idris.

Viva upinzani
 
Ndio madhara ya kuongozwa na dikteta! Akiondoka anaacha chuki na visasi mpaka nchi haikaliki.
Urafi wa madaraka, wanadhani Ghadafi alikuwa anafaidi, TZ tunarasilimali kibao kwa mfumo huu wa kupokezana tumefika wapi? Mala 100 ghadafi angetawala huku milele
 
kwanza:-LIBYA iliwahi kua namfumo wakupokezana madaraka lini ?!

pili:-kwani nilazima dunia kila taifa lifuate mifumo inayofuatwa nawamagharibi wakati nimataifa yalio huru sovereign state

tatu:-usiseme mataifa Mengi ama makubwa lisemee taifa lako linalofuata demokrasia lilikua namaendeleo gani ambalo halikua likiongoza demokrasia kama LIBYA ile ya Canal ?!

nne:- mbna mataifa ambayo ya SAUDIA QATAR UAE yanafuata Mifumo kama yailokua LIBYA ya GADAFI lakini bado US navibaraka wake ndio wanashirikiana nao ama wale sio madikteita ?!



Mwisho:-muache kujazwa ujinga(sio tusi)kwakigezo chademokrasia isioeleweka inayosimamiwa nakupigiwa chapuo na US navibaraka wake wakat wao wenyewe wanafiq tu
Nianche na namba tatu . Taifa langu si la ki democracy kama ulivyodai. Hili taifa limepoteza muda wake mwingi, kwenye u communist usio na tija, na mpaka leo wanaufuata democracy kinafki, ilhali akili yao imelalia u communist. Na u communist popote duniani haijawahi kufaulu.

Pili kuhusu swali la kwanza Colonel Gadhaafi alimpindua mfalme Idris kwa lugha ile Ile. Na baadaye akaishia kung'ang'ania madarakani kwa zaidi ya miaka 42. Huku ukijua unaongoza wanadaamu wasioridhika nafsi zao ?!. Na bado umtangulize mwanao ?!. Sasa kwa nini alimpindua mfalme kama naye mawazo yake yalikuwa yale yale ya kurithishana ?!

Mwisho watendee watu mema lakini wape uhuru wa kujiamulia mambo. Waweza jenga kila kitu, lakini usipowapa watu nafasi ya kusema na kujiamulia, yote uliyoyafanya yaweza kuwa magofu. Binaadamu hajawahi kuridhika [emoji120]
 
Uzuri nikwamba kufa kutabakia kua kufa tu hatakama utafanya nini.....
Ni Kweli lakini mtu kama yeye hakutegemea kukamatwa kama panya kwenye mtaro na vijana aliowaita panya na mende hapo mwanzoni wakati maandamano yameanza!
 
Nianche na namba tatu . Taifa langu si la ki democracy kama ulivyodai. Hili taifa limepoteza muda wake mwingi, kwenye u communist usio na tija, na mpaka leo wanaufuata democracy kinafki, ilhali akili yao imelalia u communist. Na u communist popote duniani haijawahi kufaulu.

Pili kuhusu swali la kwanza Colonel Gadhaafi alimpindua mfalme Idris kwa lugha ile Ile. Na baadaye akaishia kung'ang'ania madarakani kwa zaidi ya miaka 42. Huku ukijua unaongoza wanadaamu wasioridhika nafsi zao ?!. Na bado umtangulize mwanao ?!. Sasa kwa nini alimpindua mfalme kama naye mawazo yake yalikuwa yale yale ya kurithishana ?!

Mwisho watendee watu mema lakini wape uhuru wa kujiamulia mambo. Waweza jenga kila kitu, lakini usipowapa watu nafasi ya kusema na kujiamulia, yote uliyoyafanya yaweza kuwa magofu. Binaadamu hajawahi kuridhika [emoji120]
moja:-taifa lako silijui ila bila shaka lipo afrika mashariki nabila shaka linafuata demokrasia ijapokua ambayo haikuvutii kwani demokrasia maana nini mpaka useme nchi yako haifuati demokrasia wakati wanaifata ila sio kama unavyopenda wewe

mbili:-nilikuuliza LIBYA lini ama wapi waliwahi kua namfumo wademokrasia wakuachiana madaraka naona umeamua kubadilisha swali

Nahayo mawili mengine hujayaona ama umeamua tu kuyaacha usiyajibu ?!...
 
Urafi wa madaraka, wanadhani Ghadafi alikuwa anafaidi, TZ tunarasilimali kibao kwa mfumo huu wa kupokezana tumefika wapi? Mala 100 ghadafi angetawala huku milele
Off course gaddafi alikua anafaidi sana na ndio maana hakutaka kuachia madaraka mpaka alipofurushwa kwa nguvu na wananchi wake.
 
Off course gaddafi alikua anafaidi sana na ndio maana hakutaka kuachia madaraka mpaka alipofurushwa kwa nguvu na wananchi wake.
Alifurushwa na wahuni wa beghazi waliofunzwa magharibi na makombora ya Natto
 
nimatokeo yakila kitu katika maisha hao walomtoa kama panya sasa hv ndio wao wanaishi kama panya...
Mataifa yenye maendeleo endelevu ni yenye demokrasia? Unatuojaje aise. China? Russia? Monarch in europe countries. USA wenyewe wanasema wameibiana kura. Afu unakuja kutudanganya hapa live live
Wewe ni pumbavu wa Lumumba ndio maana unatetea mfumo kandamizi ili uendelee kufaidi.
 
Wewe ni pumbavu wa Lumumba ndio maana unatetea mfumo kandamizi ili uendelee kufaidi.
Umeshindwa kibisha kwahoja mpaka una anza kutukana nakuhusisha watu na upumbavu hao LUMUMBA na hao sijui nani wote wapumbavu

Niache kufanya mambo yamaana nijihusishe na UPUMBAVU pole sana kijana...
 
-Libya ile nchi iliyokuwa mfano kwa nchi za Afrika.
-Libya iliwahi kuwa nchi tajiri zaidi barani Afrika.
-Libya nchi iliyokuwa ikitegemewa katika bajeti ya AU.
-Libya ndo nchi pekee iliyowahi kuwekeza ndani ya bara la Afrika zaidi ya dola billioni 200 katika kipindi kifupi.
-Libya ndio nchi ambayo ilikuwa kimbilio la watu weusi wa nchi za Afrika Magharibi hasa WaNigeria katika harakati za kutafuta unafuu wa maisha.
-Libya ndio nchi iliyosaidia nchi za Afrika kupunguza gharama za kupiga simu, kutuma sms, na intaneti . Libya ilifanya hivyo kwa kununua satellite kwa niaba ya bara zima la Afrika kabla hapo nchi za Afrika zilikuwa nchi za ulaya mamilioni ya Euro kila mwaka.

Lakini toka kupinduliwa kwa utawala wa Muammar Gadaffi mwaka 2011 nchi ya Libya imebaki kuwa uwanja wa mapambano, soko la biashara haramu, huba ya vitendo vya ukiukwaji wa haki za binadamu.

Mpaka sasa June 2020 , Ndani ya ardhi ya Libya kuna majeshi ya Saudi Arabia, UAE, Misri , Qatar , Urusi na Uturuki kila mmoja akipambana kuweka kiongozi atakayeendana na maslahi yao.

Hili ni funzo kwa nchi za KiAfrika kuwa makini sana na ushauri wanaopokea kutoka nje, miaka 10 tu iliyopita wananchi wa Libya waliishi kama wafalme.

1)Maji bure 2)Umeme bure 3) Bei ya Mafuta ilikuwa sawa na tshs 200 kwa litre 4)Hamna kodi ya nyumba 5)Elimu bure hadi chuo kikuu na kwa wale waliopendelea kusoma nje pia walilipiwa na serikali 6) Serikali ya Libya ilitoa takribani $ 60,000 karibu milioni 150 kwa kila wanandoa wapya ikiwa ni pesa ya kuanzia maisha.
7) Mwanamke aliyejifungua alipewa dola 5,000
8) Pia endapo mlibya atapata tatizo la kiafya ambalo haliwezi tibika nchini kwake alilipiwa gharama zote za matibabu nje ya nchi na Serikali.
9) Libya ndo nchi iliyokuwa na reserve Kubwa barani Afrika na haikuwa na deni la hata senti. Reserve ya Libya ilikuwa Dola Bilioni 150. N.K.

Libya kabla ya kifo cha Gadaffi .....

View attachment 1486154View attachment 1486155View attachment 1486156View attachment 1486157View attachment 1486158View attachment 1486155View attachment 1486156View attachment 1486157View attachment 1486158
Libya baada ya Gadaffi

View attachment 1486160View attachment 1486161View attachment 1486162View attachment 1486163View attachment 1486164View attachment 1486165View attachment 1486166View attachment 1486167View attachment 1486168
Wale wanaojifanya kulilia democrasia kama wao ndio walioianzisha hii ndio faida yake wameitaka democrasia sasa wameipata, wazungu siku zote wanapenda uwategemee wao kama ilivyo Kenya hapo utakua rafiki yao mzuri
 
moja:-taifa lako silijui ila bila shaka lipo afrika mashariki nabila shaka linafuata demokrasia ijapokua ambayo haikuvutii kwani demokrasia maana nini mpaka useme nchi yako haifuati demokrasia wakati wanaifata ila sio kama unavyopenda wewe

mbili:-nilikuuliza LIBYA lini ama wapi waliwahi kua namfumo wademokrasia wakuachiana madaraka naona umeamua kubadilisha swali

Nahayo mawili mengine hujayaona ama umeamua tu kuyaacha usiyajibu ?!...
Sasa kama umempindua mfalme kwa lugha kuleta utawala wa kidemocrasi , na ukaishia kurudi kwenye ufalme ule ule watu wakufanyeJe ?!.

Viongozi wa ki Africa si wazuri. Hebu angalia Ivory coast Gbabo alipoona mpinzani wa anashinda akabadilika. Oh sijui nchi siwezi kuiacha bila mikono salama !!! Leo ivory coast ipo naye yuko jela. The same na Yahya Jameh anaona mpinzani wake anashinda akabadilika. Je Zanzibar .

Africa tunaleta shida wenyewe
 
Sasa kama umempindua mfalme kwa lugha kuleta utawala wa kidemocrasi , na ukaishia kurudi kwenye ufalme ule ule watu wakufanyeJe ?!.

Viongozi wa ki Africa si wazuri. Hebu angalia Ivory coast Gbabo alipoona mpinzani wa anashinda akabadilika. Oh sijui nchi siwezi kuiacha bila mikono salama !!! Leo ivory coast ipo naye yuko jela. The same na Yahya Jameh anaona mpinzani wake anashinda akabadilika. Je Zanzibar .

Africa tunaleta shida wenyewe
Huelewi unapinga ama unaongelea nini kuna sehemu gadafi alisema anampindua aliepo madarakani ili kuleta demokrasia MKUU ?! nakama ipo leta hem nifanye kuiona kama ipo najua kama haipo.


Gbagbo alikua ni mpumbavu sababu walikua wameamua kufuata demokrasia wenyewe akataka kuleta uhuni

Kuhusu zanzibar pia

Viongozi wa Afrika unawaona wanaweza wakawa wajinga kwasababu hawafati demokrasia napia wanaweza wasiwe wajinga sababu hawataki unafiq wakujifanya wanaifata demokrasia wakati hawaiwezi

Kuwalazmisha waafrika waifuate demokrasia ndio kunawapelekea kutokea yanayotokea kwani kabla yakuja demokrasia afrika haikua nawatawala ama waarabu hawakua nawatawala !?
 
Huelewi unapinga ama unaongelea nini kuna sehemu gadafi alisema anampindua aliepo madarakani ili kuleta demokrasia MKUU ?! nakama ipo leta hem nifanye kuiona kama ipo najua kama haipo.


Gbagbo alikua ni mpumbavu sababu walikua wameamua kufuata demokrasia wenyewe akataka kuleta uhuni

Kuhusu zanzibar pia

Viongozi wa Afrika unawaona wanaweza wakawa wajinga kwasababu hawafati demokrasia napia wanaweza wasiwe wajinga sababu hawataki unafiq wakujifanya wanaifata demokrasia wakati hawaiwezi

Kuwalazmisha waafrika waifuate demokrasia ndio kunawapelekea kutokea yanayotokea kwani kabla yakuja demokrasia afrika haikua nawatawala ama waarabu hawakua nawatawala !?
Kwa maoni yako ungependa Africa ifuate mfumo upi hasa ?! Naona hueleweki.

Kama umeishi miaka ya nyuma kidogo utajua viongozi wengi wa Africa wakiopigania uhuru waliishia kuwaua raia wao. Hawavumilii kukosolewa hata kupishana mawazo tu. Wengi wao waliishia kuwa ma dictator na ma fisadi. Na ndiyo maana dunia iliona afadhali kuwa na mfumo wa kupokezana madaraka . Hili nalo utekelezaji wake ni mgumu kisa unafki wa wengine kujiona bora kuliko kada nyingine.
 
kwanza:-LIBYA iliwahi kua namfumo wakupokezana madaraka lini ?!

pili:-kwani nilazima dunia kila taifa lifuate mifumo inayofuatwa nawamagharibi wakati nimataifa yalio huru sovereign state

tatu:-usiseme mataifa Mengi ama makubwa lisemee taifa lako linalofuata demokrasia lilikua namaendeleo gani ambalo halikua likiongoza demokrasia kama LIBYA ile ya Canal ?!

nne:- mbna mataifa ambayo ya SAUDIA QATAR UAE yanafuata Mifumo kama yailokua LIBYA ya GADAFI lakini bado US navibaraka wake ndio wanashirikiana nao ama wale sio madikteita ?!



Mwisho:-muache kujazwa ujinga(sio tusi)kwakigezo chademokrasia isioeleweka inayosimamiwa nakupigiwa chapuo na US navibaraka wake wakat wao wenyewe wanafiq tu
Achana nae huyo. Imani yake ni kila walifanyalo au kulitaka wamagharibi ni sahihi na lazima kwa nchi nyingine kufuata.
Kwanza hiyo wanyoiita demokrasia ndio njia wanayoirumia kugombanisha mataifa mengine. Hakuna uchaguzi utakaofanyika ila watadai haukuwa huru na haki
 
Back
Top Bottom