Hatimaye maji yameanza kutoka Mbezi Beach kwa Zena, JF mbarikiwe

 Hatimaye maji yameanza kutoka Mbezi Beach kwa Zena, JF mbarikiwe

DAWASA leo kaenda waziri wa Maji Aweso basi kuzuga wametoa maji kwote.
 
Wakuu, kumbe vitu vikiruka kupitia JF mambo yanaenda eeeh? Baada ya JF kurusha maji yamerejea, hapa ndio pa kuleta kero zetu Wakuu.

Tukaoge vizuri na kuosha vyombo vichafu vya siku mbili.

JF iishi milele🔥🔥🔥

Pia soma: KERO - Mbezi Beach kwa Zena hatuna maji siku ya 3 leo tatizo ni nini?
Hongereni.

Huku Kimara inakimbilia wiki ya tatu sasa bilabila. Naona huduma ya maji upande huu imekuwa ni biashara ya watu fulani na siyo huduma tena kama Serikali inavyopaswa kutekeleza wajibu wake.
 
naipongeza serikali kwa ujumla kwa kumulika kero za watanzania wa kawaida kupitia majukwa tofautitofauti ikiwemo na jf
 
Huku nilipo ni kubambikiza tu watu madeni ya maji,hovyo kabisa CCM na mifumo yake
 
Hongereni.

Huku Kimara inakimbilia wiki ya tatu sasa bilabila. Naona huduma ya maji upande huu imekuwa ni biashara ya watu fulani na siyo huduma tena kama Serikali inavyopaswa kutekeleza wajibu wake.
Kimara wanatoa wakijisikia hawa jamaa ni jeuri kweli kweli.
 
Back
Top Bottom